Ni mbinu gani Mwanaume unaweza kutumia ili Usirogwe na Mkeo au Hawara hasa ukishamshtukia kuwa ni Mshirikina au anataka Kukutengeza / Kukuroga?

ulisharogwa zamani ndio maana mada zako hapa JF unaonekana mweu
 
Hata Mimi nimeona hilo Mkuu. Nisaidie nawezaje Kupona na Ndumba ( Fusho ) hili nililopigwa nae huyu Mrembo Mtamu?
Changamoto iliyopo akili ulizo nazo sasa hivi siyo zako mzizi unafanya kazi. Inabidi kwanza uumshirikishe Mungu, ndumba zikitoka itakuwa rahisi kumpiga chini huyo mshirikina
 
Du, naona sasa tumehama kwenye dhumuni tumebaki kwenye lengo
 
Mbinu ni kumuacha tu...
 
vuta bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…