Ni mbinu gani unatumia kubalance shobo kwa mpenzi wako?

Ni mbinu gani unatumia kubalance shobo kwa mpenzi wako?

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Mapenzi siku zote tunasema ni two ways directions not one way directions na ukiona upo katika penzi la one way directions ujue kuna tatizo

Kiasi cha kwamba wewe ndo unajitahidi kumuonesha mwenzio jinsi unavyompenda kuliko yeye anavyoesha. Wewe ndo unajionesha umependa sana kuliko mwenzio kukuneshea kukupenda. Wewe ndio kila saa na dakika unaonekana ndio chanzo cha mawasiliano,kuchat n.k

Sasa leo hebu tuambizane ukweli ni mbinu gani za kubalance shobo ktk mahusiano
 
Kwa mm mara nyingi hua namtafuta pale napo jiskia na yeye pia hvyo hvyo akikausha basi nakausha coz sio kila mda unajishusha kua ww tu ndo kila siku umtafute mwache yeye pia ajiongeze ukiona siku inapita bila kutafutwa ujue ww hauna umuhimu kwake so na ww jiongeze kua kama yeye akikutafuta poa asipo kutafuta kausha tafuta hela jua umuhimu wako ukiwa kila siku ww ndo wa kumtafuta anakuchoka
 
Fanya hivi onyesha mahabaa weee yaani mahaba weee fanya umedata kweli kweli afu badili gia angani piga kimya
Usimtafute ukiweza futa na namba kabisa wiki ikipita akikuchek muuliZe wewe nani afu mchatie kinyonge majibu utayoyapata njoo hapa unilipie kodi ya nyumba mana nadaiwa
 
Fanya hivi onyesha mahabaa weee yaani mahaba weee fanya umedata kweli kweli afu badili gia angani piga kimya
Usimtafute ukiweza futa na namba kabisa wiki ikipita akikuchek muuliZe wewe nani afu mchatie kinyonge majibu utayoyapata njoo hapa unilipie kodi ya nyumba mana nadaiwa
Kwamba umuulize ye nani?
Sidhani kama ni sawa,hapo unamjibu kawaida tu kama watu unaowajua

Yeye:Mambo
Mimi:Safi ujambo?
Yeye:Me Xjambo mekumiss
Mimi:Shukrani,family wazima?
Yeye: Wazima kabisa wanakuulizia
Mimi:Waambie niko poa

Hapo najibu kulingana na muda anaojibu,akijibu baada ya dakika 2 ntajibu baada ya dakika4-10
 
Fanya hivi onyesha mahabaa weee yaani mahaba weee fanya umedata kweli kweli afu badili gia angani piga kimya
Usimtafute ukiweza futa na namba kabisa wiki ikipita akikuchek muuliZe wewe nani afu mchatie kinyonge majibu utayoyapata njoo hapa unilipie kodi ya nyumba mana nadaiwa
Usimuulize wewe nani!
Mwambie unajipa ubize sana nikaona nakusumbua. Atajitetea hiyo ndio itakuwa daraja la kuvukia kwenda kumnyandua.

Akikujibu poa/haina shida bro mwambie kila mtu ale 18 zake
 
Me sijui hata nili-balance vipi shobooo..... Ila ikawa imeishaaaa hiyoooooo....

Bora ujue mtu yupoooo Ukanda wa Gazaa hukooo anapigana vitaaa... Ila siyo mpoo wote sehemu moja alafu unajuaa kabisaa ana access ya simu na bundle kabisa alafu anaringa kama Twiga....

Na sijafuta nambaaa yake yeye anabaki kuview status tu... Mara ya mwisho nikamwambia nilichotakaaa kwako nishakipata kwaiyooo sikutakiii......
 
Alafu ndo inakuwa mwanzo wa mizinga, akikausha nakausha, akitext natext,

QUID PRO QUO....



Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kaka,maana ukimpa attention atakuona boya na usipompa atagongwa pia na anaempa attention muda huo

So kubalance ni heri usimpe kabisa hadi yeye akijisikia kukutxt mjibu akiacha basi imetoka
 
Back
Top Bottom