Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,261
- 3,580
kupitia maelezo yako.Unajuaje kama ni mke wa mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kupitia maelezo yako.Unajuaje kama ni mke wa mtu?
Naichukua kama ilivyoPrinciple ya kuishi vyema na mpenzi haswa katika njia ya mawasiliano
1, piga simu asipopokea usipige tena mpaka yeye akutafute na akikutafute usimuulize why hujapikea simu yeye ñdio atatoa maaelezo .,kama asipo toa maelezo wewe cool mpe Hi then kama kuna mawili matatu fresh
2,Tuma SMS mbili au moja kama ni morning asipo jibu on time usiendelee kutuma huu ni usumbufu kama ni asubuhi mjulie Hali ameamkaje,kama ni mchana mejulie za mchana kashindaje then mtakie mchana mwema Kwa jioni unaweza mpigia simu na kuongea nae mawili matatu kuhusu yeye then kama nyie ni wapemz wa wale wa kuongea mda mrefu mtanendelea
3,Usiwe mtu wa kupiga simu kila saaa pasipo Sababu ya msingi, hapa wapo wale sijui nimekumiss mara sijui nn nimemiss kusikia sauti yako bla bla bla kibào hapo utachokwa na kuonekana haupo seriously kbsà
4 Be serious to increase you're value ,kama Kuna mengine mtamalizia
[emoji3]mke wa mtu huyo. Ukiwa unakutana nae usisahau kubeba na JERRY MURO.
mwenye mji akiwepo hataki usumbufu,simpleUnajuaje kama ni mke wa mtu?
Apia!nikipenda nimependa na siwezi kujificha popote pale,utanichoka wewe tu
Huyo ni mke wa mtu mkuu .. uwe unatembea na dumu la maziwa mzeeKuna demu nambembeleza toka wiki 2 zilizopita yeye anataka nimtafute mchana tu na kama kuonana tuonane mchana tu isizidi 12 jioni ,hii imekaaje wadau?
Dudu sioMe sijui hata nili-balance vipi shobooo..... Ila ikawa imeishaaaa hiyoooooo....
Bora ujue mtu yupoooo Ukanda wa Gazaa hukooo anapigana vitaaa... Ila siyo mpoo wote sehemu moja alafu unajuaa kabisaa ana access ya simu na bundle kabisa alafu anaringa kama Twiga....
Na sijafuta nambaaa yake yeye anabaki kuview status tu... Mara ya mwisho nikamwambia nilichotakaaa kwako nishakipata kwaiyooo sikutakiii......
Coment imeenda next level hii.Kwa mm mara nyingi hua namtafuta pale napo jiskia na yeye pia hvyo hvyo akikausha basi nakausha coz sio kila mda unajishusha kua ww tu ndo kila siku umtafute mwache yeye pia ajiongeze ukiona siku inapita bila kutafutwa ujue ww hauna umuhimu kwake so na ww jiongeze kua kama yeye akikutafuta poa asipo kutafuta kausha tafuta hela jua umuhimu wako ukiwa kila siku ww ndo wa kumtafuta anakuchoka
Tit 4 tatNikiona najipendekeza huwa nafuta namba kwanza , huku nikiamini kama tupo pamoja atanichek ,akinichek Wala Simind tunaanza upya akizingua nafuta tena naendelea na ishu zingine
Nawaita Tena na leo,wakuu,utendeeni haki huu uzi