Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Utadundwa shemeji...Hautakiwi babu jikatae
Uje kutupa kesi ya kwenda kumnyosha mtu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadundwa shemeji...Hautakiwi babu jikatae
atalala yoooo ,sio vibaya kumuonesha mtu kama unampenda sana endapo reaction yake nae ipo kama wewe ila kiukweli ni mbaya zaidi pale unapoonesha reaction ya kumpenda mtu lakini unapata negative reaction mfano unampigia yoooooo[emoji24][emoji24]lakini hapokei halafu baadae anakupa very stupid apologise[emoji24][emoji24][emoji24]ooohhh nilikuwa busy itmeans the whole day ulikuwa busySema haki ya Mungu...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Yes ntamtafuta tu, na wala sitaki kubalance🤪Sema haki ya Mungu...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
if there is equal reactionYes ntamtafuta tu, na wala sitaki kubalance[emoji2957]
Poleni sana...atalala yoooo ,sio vibaya kumuonesha mtu kama unampenda sana endapo reaction yake nae ipo kama wewe ila kiukweli ni mbaya zaidi pale unapoonesha reaction ya kumpenda mtu lakini unapata negative reaction mfano unampigia yoooooo[emoji24][emoji24]lakini hapokei halafu baadae anakupa very stupid apologise[emoji24][emoji24][emoji24]ooohhh nilikuwa busy itmeans the whole day ulikuwa busy
Hongera sana... Inapendeza...Yes ntamtafuta tu, na wala sitaki kubalance🤪
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]watu wanamioyo migumu kama vile imetengenezwa kwa plastic[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ifikie mahali ujione hurumaPoleni sana...
Kazeni mioyo...
Hayanaga muongozo...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]watu wanamioyo migumu kama vile imetengenezwa kwa plastic[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ifikie mahali ujione huruma
thats true[emoji173]Hayanaga muongozo...
Sina wasi wasi na kazi yangu.huku unaugulia maumivu[emoji41][emoji41]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]umeongea point kubwa sana ,point takenSina wasi wasi na kazi yangu.
Akiona umuhimu wangu atanitafuta tu.
Kwa mwanamke imekaa sawa tu hata ukifanya ivoMimi siwezi kubalance, yaani kama simu ntapiga, sms ntatuma. Bila kujali sana yeye kanitafuta or not. Nampenda why nimpimie.
Alafu ndo inakuwa mwanzo wa mizinga, akikausha nakausha, akitext natext,
QUID PRO QUO....
Sent using Jamii Forums mobile app
Simtafuti mtu mimiUwa nakula ganzi.
Ahaaa,wamasaki tunawajua shobo ,shombo,????Shobo ni nini hasa??
Mwanamke anayejua thamani yako atakutafuta.Simtafuti mtu mimi
mke wa mtu huyo. Ukiwa unakutana nae usisahau kubeba na JERRY MURO.Kuna demu nambembeleza toka wiki 2 zilizopita yeye anataka nimtafute mchana tu na kama kuonana tuonane mchana tu isizidi 12 jioni ,hii imekaaje wadau?
Unajuaje kama ni mke wa mtu?mke wa mtu huyo. Ukiwa unakutana nae usisahau kubeba na JERRY MURO.