Vp broo kwani huu uzi sio wa wavulana 18-24 mana ulisemagaa jf imevamiwa na hao watu [emoji13][emoji12][emoji12]Me binafsi kama mwanaume huwa naona kumtafuta mwanamke kama haiji hivi
Ikitokea sana mara moja kwa wiki
Huu ujumbe unafit hadi kwa watu wazimaVp broo kwani huu uzi sio wa wavulana 18-24 mana ulisemagaa jf imevamiwa na hao watu [emoji13][emoji12][emoji12]
Kwamba umuulize ye nani?Fanya hivi onyesha mahabaa weee yaani mahaba weee fanya umedata kweli kweli afu badili gia angani piga kimya
Usimtafute ukiweza futa na namba kabisa wiki ikipita akikuchek muuliZe wewe nani afu mchatie kinyonge majibu utayoyapata njoo hapa unilipie kodi ya nyumba mana nadaiwa
Usimuulize wewe nani!Fanya hivi onyesha mahabaa weee yaani mahaba weee fanya umedata kweli kweli afu badili gia angani piga kimya
Usimtafute ukiweza futa na namba kabisa wiki ikipita akikuchek muuliZe wewe nani afu mchatie kinyonge majibu utayoyapata njoo hapa unilipie kodi ya nyumba mana nadaiwa
Yeah hawa viumbe ukiwapa attention wanakuona boyaMimi naonyesha interest weeee.... alafu nabadili gia angani nafuta na namba akinitafuta sawa asiponitafuta kwaheri
Alafu ndo inakuwa mwanzo wa mizinga, akikausha nakausha, akitext natext,Yeah hawa viumbe ukiwapa attention wanakuona boya
Kabisa kaka,maana ukimpa attention atakuona boya na usipompa atagongwa pia na anaempa attention muda huoAlafu ndo inakuwa mwanzo wa mizinga, akikausha nakausha, akitext natext,
QUID PRO QUO....
Sent using Jamii Forums mobile app