Ni mchambuzi gani bora wa michezo Tanzania?

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Tanzania kuna wachambuzi wengi wa michezo kupitia vipindi vya michezo Redio Tanzania.

Je ni mtangazaji gani ni bora sana katika uchambuzi wa soka la tanzania na dunia

Je ni kipindi gani cha michezo katika redio gani kilicho bora sanaa kuliko vingine.
 
Mtu anayejua hapa bongo ni Leaky Abdalah na Eddo Kumwembe,hao wengine wababaishaji tuu,kuna siku Maulid Kitenge aliniacha hoi,akidai eti mshindi wa Kombe la Dunia hapati zawadi ya pesa.
 
Sports headquarter EFM wanajitahidi sana kwa contents analysis ya michezo ni full pakage na wanacover sehemu kubwa sana ya michezo ktk maeneo mbalimbali
 
Era zinatofautiana,

Wengi wetu ambao ni Old Schools tutamtaja Dr Leakey Abdallah, ambapo then unakuja kumwona Edo Kumwembe anajaribu kuiga vitu vingi kutoka kwa mzee huyu. These guys go extra mile to give you some of the info that you don't easily find on the internet.

Hawa wengine unakuta ni copy paste kutoka kwenye mitandao ya majuu, they exactly tell what we also have read.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…