rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 316
Risasi inaua haraka kuliko kisu kwa sababu risasi ikutana na tissue za mwanadamu au mnyama kutokana na momontum yake inapolazimisha kupenya kenye mwili husababisha shock(vibration) hivyo hufanya viungo vingi kuharibika.
Mfano kunamtu alipigwa risasi ya bega alikufa papo hapo..kwa sababu ilifanya mstuko kwenye uti wa mgongo na kidislokate ..risasi ikiingia mwilini hufanya uharibifu mkubwa sana kuliko kisu.
Mfano kunamtu alipigwa risasi ya bega alikufa papo hapo..kwa sababu ilifanya mstuko kwenye uti wa mgongo na kidislokate ..risasi ikiingia mwilini hufanya uharibifu mkubwa sana kuliko kisu.