Ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi?

Ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi?

Risasi inaua haraka kuliko kisu kwa sababu risasi ikutana na tissue za mwanadamu au mnyama kutokana na momontum yake inapolazimisha kupenya kenye mwili husababisha shock(vibration) hivyo hufanya viungo vingi kuharibika.
Mfano kunamtu alipigwa risasi ya bega alikufa papo hapo..kwa sababu ilifanya mstuko kwenye uti wa mgongo na kidislokate ..risasi ikiingia mwilini hufanya uharibifu mkubwa sana kuliko kisu.
 
Risasi huwa inapenda resistance yaani ile sehemu yenye inaiziua isipite mfano mfupa kwaiyo ikikuta nyama sio hatar sana.. ikikuta mfupa inafumua
 
Pamoja na Sumu itokanayo na madini ya risasi. Risasi (Bullet) husababisha majeraha makubwa yapelekeayo kuvuja damu nyingi kwa haraka na kuleta kifo.
Hii inatokana na Mwendokasi wa Risasi wa aina mbili
1. Linear motion amabayo huenda kwa kasi kuliko sauti . Ukisia Paaa ujue amekukosa au umejeruhiwa tayari
2.
Rotational motion, mtutu wa bunduki kwa ndani una mstari inayojizungusha kuifanya risasi ibadili mwendo na kuanza ku rotate. Ndio maana kule risasi inatokea kipenyo huwa kikubwa hivyo husababisha mtikisiko wa eneo kubwa kwa ndani na kuharibu internally hatimaye kifo.
 
Iko hivi,
Kuna bunduki za aina tatu; kwanza shot gun, semiautomatic na automatic gun.

Hizo shotgun ni bunduki za kizamani kama gobore au wanazotumia kiwindia.

Semiautomatic ni kama vile Semiautomatic riffle (SAR) ambazo hutumika sana kwenye gwaride.

Automatic zinatumika zaidi vitani, kama SMG, AK47, G3, Uzi gun etc.
Zipo za masafa marefu kama LMG (zenye risasi za mikanda) etc

Sasa zinavyofanya kazi nadhani ndio swali lako. Kwenye automatic ndio Mpango mzima.
Risasi zinakaa kwenye magazine (kama 30-40). Hatua ya kwanza inavuta cocking handle ili kuweka risasi chamber, pili unafungua usalama, hapo unaweza kuweka rapid au moja moja.
Hatua ya tatu unafyatua.
Sasa unapofyatua ile trigger kuna vitendo vinne vinafanyika kwa sekunde moja.
Kwanza baruti iliyomo kwenye ganda la risasi italipuka na kusababisha risasi iende mbele.
Mlipuko ule husababisha cocking handle iliyoshikwa na spring irudi nyuma na kuchota risasi nyingine kutoka kwenye magazine na kuiweka chamber huku lile ganda la risasi iliyolipuka likiruka nje. Mapigo hayo huendelea mithili ya machine hadi uachie trigger.
Hiyo ndio maana ya automatic.
Uchawi wote uko kwenye baruti inapolipuka na ndio inayotoa sauti kali. Risasi ina uwezo wa kuua ndani ya meter 100.
Maelezo mengi nje ya kilichoulizwa ila maelezo mengine nahisi upo sawa ila hapo kwenye LMG umenikanganya uliposema ni bunduki ya masafa marefu,niweke sawa marefu kivipi tofauti na hizo bunduki atomatic kama SMG na je sifa ipi inayoipa silaha ili iweze kuonekana inasafirisha risasi mbali
 
Back
Top Bottom