Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au labda tunapishana majukwaa.Good to know, itakua inakuja kwa kunyatia
Akhy ,As Salaam 'Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh. Kumbe bado upo humu kwa Id nyengine? Al hamdulillah. Maana Id yako ile sijaiona ikichangia majukwaani humu siku nyingi. Ile huitumii tena au password umeisahau?Umenigawa haha nipo ndugu, kwa sasa natumia synonym II
Pampulaaaaaa nilikumiss kweli! Umefufuka!Wew sasa
Wa'alaikum salam, nipo, vimeo vingi - huwa naingia mara chache, natumia hii tuAkhy ,As Salaam 'Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh. Kumbe bado upo humu kwa Id nyengine? Al hamdulillah. Maana Id yako ile sijaiona ikichangia majukwaani humu siku nyingi. Ile huitumii tena au password umeisahau?
Nimefurahi kujua kumbe upo kwa Id nyengjne. Allah akubariki.
Huyo BAK itakuwa alitekwaga kitamboougonile,
Binafsi kuna members nimemiss sana uwepo wao humu jukwaani lakini kwa bahati mbaya sana humu uhuru umezidi, kuna wengine hawapo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ban, kubadili Id n.k
Regardless ya hizo sababu napenda kutambua uwepo wa hawa members, you're missed so much
Bill Lugano aka kiduku lilo
Analyse
Antonnia
Joline
Madame B
Sky Eclat
ndege JOHN
BAK
Amehlo
@wang`ari mathai
cariha
Asprin
Atoto
hearly
na wengineo wengi
Nipo mkuu .Majukumu yamenitinga tuUPOPO na facts zake za maana kwenye kuchangia hoja.
@moisemusajiografi sijamuona kitambo pia.
Mtambachuo na Depal
Haha nipo...ka app haka kanachoshaga tu, uko poa?Pampulaaaaaa nilikumiss kweli! Umefufuka!