Ni member gani hujamuona muda mrefu lakini umemisi uwepo wake humu jukwaani

Ni member gani hujamuona muda mrefu lakini umemisi uwepo wake humu jukwaani

Mr bann huyu mwamba kitambo sana na story zake za kuiba bank asee ni shujaa haswa sijui yu wap now
 
Umenigawa haha nipo ndugu, kwa sasa natumia synonym II
Akhy ,As Salaam 'Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh. Kumbe bado upo humu kwa Id nyengine? Al hamdulillah. Maana Id yako ile sijaiona ikichangia majukwaani humu siku nyingi. Ile huitumii tena au password umeisahau?

Nimefurahi kujua kumbe upo kwa Id nyengjne. Allah akubariki.
 
Akhy ,As Salaam 'Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh. Kumbe bado upo humu kwa Id nyengine? Al hamdulillah. Maana Id yako ile sijaiona ikichangia majukwaani humu siku nyingi. Ile huitumii tena au password umeisahau?

Nimefurahi kujua kumbe upo kwa Id nyengjne. Allah akubariki.
Wa'alaikum salam, nipo, vimeo vingi - huwa naingia mara chache, natumia hii tu
 
ugonile,

Binafsi kuna members nimemiss sana uwepo wao humu jukwaani lakini kwa bahati mbaya sana humu uhuru umezidi, kuna wengine hawapo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ban, kubadili Id n.k

Regardless ya hizo sababu napenda kutambua uwepo wa hawa members, you're missed so much

Bill Lugano aka kiduku lilo
Analyse
Antonnia
Joline
Madame B
Sky Eclat
ndege JOHN
BAK
Amehlo
@wang`ari mathai
cariha
Asprin
Atoto
hearly
na wengineo wengi
Huyo BAK itakuwa alitekwaga kitamboo
 
Mi nimewamiss wafuatao
Yoga
TumiaAkili
Humble African
Habibu aka The bold
Umughaka
Da vinc
Malcom Lumumba
Nk.
 
Back
Top Bottom