MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
-
- #141
Jambo jema Madam, glad to knowNipo mkuu
Mkuu huyo kiduku lilo ni special case πHapo kwenye orodha yako ni lazima nami ningelianza na huyo Kidukulilo.
Asante sana MFALME WETU kwa kutambua uwepo wangu.ugonile,
Binafsi kuna members nimemiss sana uwepo wao humu jukwaani lakini kwa bahati mbaya sana humu uhuru umezidi, kuna wengine hawapo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ban, kubadili Id n.k
Regardless ya hizo sababu napenda kutambua uwepo wa hawa members, you're missed so much
Bill Lugano aka kiduku lilo
Analyse
Antonnia
Joline
Madame B
Sky Eclat
ndege JOHN
BAK
Amehlo
@wang`ari mathai
cariha
Asprin
Atoto
hearly
na wengineo wengi
Ndio Melki Wamatukio amechange IDViatu vya samaki sijui yuko wapi huyu jamaa
Ungetuonea wapi na hukuwepo hewani mkuu
Glad to know tuko pamoja Madam π€Asante sana MFALME WETU kwa kutambua uwepo wangu.
Mimi nipo, japo siingii mara kwa mara JF kutokana na changamoto za malezi zinazonikabili.
Si unajua mtoto wa uzeeni alivyo na raha yake?
Ila nipo na tupo pamoja mkuu
π€π€π€
β€οΈβ€οΈβ€οΈ
Asante.
Kabisa.Glad to know tuko pamoja Madam π€
Kama navokuona unavomdekeza uyo Junior π
Nipo kaka.