Huko ni kuanzisha ugomvi. Kumbuka wewe unaweza kuwa unamchukia mtu mmoja lakini wenzako kibao wakawa wanampenda. Usianzishe chuki dhidi ya mtu kwa kuwa tu wewe humpendi. Hujui wangapi wanampenda,Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Jamaa muongo yule sjawahi kuona popote paleMpwayungu Village
Huyu jamaa simuelewagi tena wala sio kwa ubaya [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona jamaa ni mtu poa sana mzee, hata ukikutana nae kitaani yupo humble sana, hana makuu, hajimwambafai@mexencemelo
SIJAWAHI MUELEWA HUYU JAMAA AND I DNT KNW WHY
Haswaa... kama wanataka kuwajua niwawekee screenshot ya ignore listWala haina haja ya kutangaziana wakati kitufe Cha block kipo,, wanaonikera wote wapo ignore list yangu na wala sishtuki najisikia vizuri mno,
Jamaa story zake hata Abunuasi na Eposo hawamfikiiNakuelewa Mkuu, kitu gani hasa kinakukera toka kwa huyo Mdau....?
Wote wanashadadia BITOZO.Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Mmh! Makubwa.Wote wanashadadia BITOZO.
Sexless etc