Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Mi nahisi nachukiwa sana, haiwezekani mada yangu muhimu ya tozo ipate replies 2 tu bila likes hata moja huku mada ya uongo ya Mpwayungu Village ya kwamba alienda Rwanda kula ugali tu na kugeuza kurudi inapata replies na likes nyingiii. Nachukiwa sana!
 
Mimi hua namchukia mtu anaeingilia masalahi yangu tu. Kwanza hakuna hata ninae mfahamu humu naanzaje kuwachukia
 
Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.

Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!

Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....

Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Hii nayo ni post na inaruhusiwa kuwa hewani?
 
Me kiranga simchukii ila naonaga watu wanamwona ana akili nyingi lakini me naona wa kawaida Sana yaani hizo akili zinazosemekana anazo NI akili hewa ..gentamicine kiukweli simpendi na wale wote ambao wanapenda kujadili mtu na sio ishu yaani mtu anajifanya kukujua Sana .kwa mfano labda thread ya zamani uliwahi kusema unaishi iringa then baada ya miaka mitatu ukaja ukaanzisha thread nyingine anakuja boya kucomment eti vipi Bado uko iringa huu NI ujinga na shobo
 
Pendaneni acheni kusagiana kunguni mwisho wa siku jamvi linaburudisha linafurahisha na lina elimisha hamna haja ya kuchukiana, by the way wengi hatujuani humu kwa sura wala lolote tunajuana kwa contents zetu tu, uzi huu umekaa kimatagamataga sana.
 
Kuna jamaa umu ndani ya Jf yeye kila habari, trend au matukio atayafungulia nyuzi.

Anajifanya kila kitu na kila nyanja yeye anajua. Ni m'bishi uyo kama mshipa.
Hapendi kukosolewa pale anapokosea na muongo muongo sanaaaaa.

Ni mtu wa kuchukua habari toka vyanzo vingine na ku'paste hapa na kuaminisha watu ni bandiko lake halisi, kwa kifupi jamaa ni zero kabisa.
Hahahahh na anashinda google eti eeh?[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom