goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
cocastic simuelewi Ni jins gani hvyo simuelewi ekewe nae ale bani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ungefanyeje kama umri ungekuwa haujaenda?I love Maxence Melo to the maximum, sema tu Mamndenyi miaka imekwenda wapi.
Kana mapepe sana haka kadogo [emoji16]cocastic simuelewi Ni jins gani hvyo simuelewi ekewe nae ale bani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Umeamua kuwalima block ya jf😂😂😂😂Unao wangapi maana mi kaidadi kamesheheni sio haba
Hii nayo ni post na inaruhusiwa kuwa hewani?Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Nini maana ya popoma (explain) [emoji23]Nakuelewa Mkuu, kitu gani hasa kinakukera toka kwa huyo Mdau....?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wote wanaoshabikia ccm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa muongo yule sjawahi kuona popote pale
Hahahahh na anashinda google eti eeh?[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa umu ndani ya Jf yeye kila habari, trend au matukio atayafungulia nyuzi.
Anajifanya kila kitu na kila nyanja yeye anajua. Ni m'bishi uyo kama mshipa.
Hapendi kukosolewa pale anapokosea na muongo muongo sanaaaaa.
Ni mtu wa kuchukua habari toka vyanzo vingine na ku'paste hapa na kuaminisha watu ni bandiko lake halisi, kwa kifupi jamaa ni zero kabisa.