Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hupendi wanaojadili mtu badala ya issue, lakini unamjadili Kiranga.Me kiranga simchukii ila naonaga watu wanamwona ana akili nyingi lakini me naona wa kawaida Sana yaani hizo akili zinazosemekana anazo NI akili hewa ..gentamicine kiukweli simpendi na wale wote ambao wanapenda kujadili mtu na sio ishu yaani mtu anajifanya kukujua Sana .kwa mfano labda thread ya zamani uliwahi kusema unaishi iringa then baada ya miaka mitatu ukaja ukaanzisha thread nyingine anakuja boya kucomment eti vipi Bado uko iringa huu NI ujinga na shobo
Contradiction.