Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wala haina haja ya kutangaziana wakati kitufe Cha block kipo,, wanaonikera wote wapo ignore list yangu na wala sishtuki najisikia vizuri mno,
Nakuchukia Ila sio Kwa ubaya😊😊🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala haina haja ya kutangaziana wakati kitufe Cha block kipo,, wanaonikera wote wapo ignore list yangu na wala sishtuki najisikia vizuri mno,
Kwani nasema uongo ndugu yanguMmh! Makubwa.
Samahani nimetoka nje ya mada.Mkuu ungeonyesha mfano wewe mwenyewe kwanza
I love Maxence Melo to the maximum, sema tu Mamndenyi miaka imekwenda wapi.@maxencemelo
SIJAWAHI MUELEWA HUYU JAMAA AND I DNT KNW WHY
😂😂😂😂Unao wangapi maana mi kaidadi kamesheheni sio habaHaswaa... kama wanataka kuwajua niwawekee screenshot ya ignore list
Chuki Ni chuki tu haina Cha ubaya Wala uzuriNakuchukia Ila sio Kwa ubaya😊😊🏃🏃
Kabla sijasoma comment yoyote nilitarajia kukutana na hili jina [emoji23]Mpwayungu Village
Huyu jamaa simuelewagi tena wala sio kwa ubaya [emoji23][emoji23][emoji23]
Senia memba bhana😄@maxencemelo
SIJAWAHI MUELEWA HUYU JAMAA AND I DNT KNW WHY
shetani hana rafikiUmetisha Mkuu.... Hahahaaaaa
Kuna jamaa umu ndani ya Jf yeye kila habari, trend au matukio atayafungulia nyuzi.Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo....!
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.....
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.....
Akajirekebisha.
Mm pia mpwayungu hon kwa kweli huyu alimwe ban kbsa [emoji23][emoji23]Mpwayungu Village
Huyu jamaa simuelewagi tena wala sio kwa ubaya [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Mzee wa Msata huyo....!?Kuna jamaa umu ndani ya Jf yeye kila habari, trend au matukio atayafungulia nyuzi.
Anajifanya kila kitu na kila nyanja yeye anajua. Ni m'bishi uyo kama mshipa.
Hapendi kukosolewa pale anapokosea na muongo muongo sanaaaaa.
Ni mtu wa kuchukua habari toka vyanzo vingine na ku'paste hapa na kuaminisha watu ni bandiko lake halisi, kwa kifupi jamaa ni zero kabisa.