YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Nilisema?,We si wanijua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisema?,We si wanijua sana.
aisee siasa si uhasama nduguWote wanaoshabikia ccm
Mimi nasubiri wakifika stage ya kuweka namba za simu na location,hii changamoto vijana tunaigeuza fursa😂
mshamba hachekwi bro😂😂😂 Aseee. Kila mtu na macho yake
Watetezi wote wa uuzwaji wa bandari.Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi mpya umetoka kwa huyo member hawana Muda hata wa kuufungua, zaidi ya Kusonya kimoyomoyo.
Mtaje member ambaye humpendi then tueleze Sababu.
Labda anaweza kupita hapa, akaona jina lake.
Akajirekebisha.
Leo nimekula mandazi sio mikate, 🌕🌕🌕Kuna mtu kashiba mikate
Ana constipation
Full kuweweseka.
Kwanini uwa unaweka juu ya daftari? Can't you be smart? Most of the smartness pays totoo.Leo nimekula mandazi sio mikate, 🌕🌕🌕
Akili kumkichwa 😆[emoji15][emoji15][emoji15] Basi yaishe acheni kutukanana sio poa banaa!!!
Mwenyezi Mungu na Wazazi wangu Wakinipenda inatosha sana na mno ila siyo Takataka na Mipumbavu mingine ya Mfano wako.
🤣🤣📌 samaleko Genta.Mwenyezi Mungu na Wazazi wangu Wakinipenda inatosha ila siyo Takataka na Mipumbavu mingine ya Mfano wako.
Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!
Nimetumia sahani leo.Kwanini uwa unaweka juu ya daftari? Can't you be smart? Most of the smartness pays totoo.
Kajaa Mwenyewe katika 18 Juha huyo.🤣🤣📌 samaleko Genta.
Sawa shem lake. ❤️Haya bana mkifikia hatua ya kuzichapa mseme niwape mchanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake weusi siku zote ni Wazuri,Wana oven kule chiniLenie eti ni mzuri huyo? Au macho yangu hayaoni vizuri?
Rice with beans is among fav foodie for most of Tanzanians... but table? You can't serve my plate from dirty table 😏