Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

shida ikowapi kwa mfano
Shida ipo, katika hali ya kawaida tu mwanaume huwezi kupagawa na kila mwanamke. Lazima choice iwepo

Wewe akiwa mnene unapagawa, akiwa mwembamba unapagawa, akiwa mrefu unapagawa, akiwa mfupi unapagawa, akiwa mweupe unapagawa akiwa mweusi unapagawa, yaani wewe kazi yako ni kupagawa tu?
 
Shida ipo, katika hali ya kawaida tu mwanaume huwezi kupagawa na kila mwanamke. Lazima choice iwepo

Wewe akiwa mnene unapagawa, akiwa mwembamba unapagawa, akiwa mrefu unapagawa, akiwa mfupi unapagawa, akiwa mweupe unapagawa akiwa mweusi unapagawa, yaani wewe kazi yako ni kupagawa tu?
1. sipagawi na mabonge.
2. ujana maji ya moto😂
 
Kwa darlin naomba nitie neno, ni mzuri. Ila huyo mwingine kwakweli mixer dullah mbabe mixer djuma shabani soda ya bemba
Lenie mzuri sana yupo smart sana kama ujapata dinner nae muombe siku mkuu lenie yupo very smart sana kwaza sio mtu wa ugomvi uyo unaesema pis kwa wengine tunaiona ya kawaida sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] emu niwacheee!!!! Nimepoa wizo kala ban
Ahahahahha utulie sasa kwaza umekunywa.chai au ndio unasubiri mihogo kutoka kwa mama bonge 😆
 
Back
Top Bottom