Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Shida ipo, katika hali ya kawaida tu mwanaume huwezi kupagawa na kila mwanamke. Lazima choice iweposhida ikowapi kwa mfano
sijaona ukitaja vibuyuSawa totoo
Maisha ni kupanga... kama umeshayapanga yawe hivii mtandaoni, hata huko nje utakuwa na plan mbovu. Watch yourself.
1. sipagawi na mabonge.Shida ipo, katika hali ya kawaida tu mwanaume huwezi kupagawa na kila mwanamke. Lazima choice iwepo
Wewe akiwa mnene unapagawa, akiwa mwembamba unapagawa, akiwa mrefu unapagawa, akiwa mfupi unapagawa, akiwa mweupe unapagawa akiwa mweusi unapagawa, yaani wewe kazi yako ni kupagawa tu?
Pis ya kawaida sana siku nikilewa nitapost pis yanguKa darlin ni pisi ya kwenda... looh!
🤣Pis ya kawaida sana siku nikilewa nitapost pis yangu
Sure kuna pis zimenyooka sana labda wao hawajazoea kuona pis kuna pis ukiziona njian nusu ugongwe na gari mtoto kakamilika kila idara naenda somewhere nikiituka pis naipiga picha kisili af naitupia hapa
unitag aisee nione Unique Flower alivo pisiPis ya kawaida sana siku nikilewa nitapost pis yangu
Ahahhaha utamuona tu yuko soft sana kiasi kwamba had ukucha unaulambaunitag aisee nione Unique Flower alivo pisi
Lenie mzuri sana yupo smart sana kama ujapata dinner nae muombe siku mkuu lenie yupo very smart sana kwaza sio mtu wa ugomvi uyo unaesema pis kwa wengine tunaiona ya kawaida sanaKwa darlin naomba nitie neno, ni mzuri. Ila huyo mwingine kwakweli mixer dullah mbabe mixer djuma shabani soda ya bemba
Pis ya kawaida sana siku nikilewa nitapost pis yangu
Utashangaa na kupost wewe bichwa komwe itakuwaje? 🤣Usisahau kunitag nijionee pisi bro [emoji23][emoji23][emoji23]
unitag aisee nione Unique Flower alivo pisi
usiwazeUsisahau kuleta na picha wizo alivyo mkaree [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utashangaa na kupost wewe bichwa komwe itakuwaje? [emoji1787]
Ahahahahha utulie sasa kwaza umekunywa.chai au ndio unasubiri mihogo kutoka kwa mama bonge 😆[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] emu niwacheee!!!! Nimepoa wizo kala ban