Ahahahahha utulie sasa kwaza umekunywa.chai au ndio unasubiri mihogo kutoka kwa mama bonge [emoji38]
usiwaze
wana hatukwamishani[emoji23]
Ahahahhaah usinikumbushe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nile wapi ndugu yangu labda nimcheck mfrance wangu wa kiga
Ahahahhaah usinikumbushe
Nq ungekubali now ungekuq na watoto wazrUnamcheka mtasha wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nq ungekubali now ungekuq na watoto wazr
Bro. Nahisi kwa mara ya kwanza umenivunja moyo.Kwa darlin naomba nitie neno, ni mzuri. Ila huyo mwingine kwakweli mixer dullah mbabe mixer djuma shabani soda ya bemba
Ahahhaah njoo nikupe mbegu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah!! Nitapata mwingine inshallah! Nitazaa mahalf cast, pisi za kwendea sio wamongolii
Ahahhaah njoo nikupe mbegu
Acha zakoAkhu!! Wabongo siwataki wanaporwa bandari wametulia wala hawastuki, wataambukiza watoto wangu uoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha zako
Mwenyezi Mungu na Wazazi wangu Wakinipenda inatosha sana na mno ila siyo Takataka na Mipumbavu mingine ya Mfano wako.
Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!
naona apo mezani kuna jiti 2 la fegi
Aje atawale wapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hivyo ndugu yangu, naona nikamix na mataifa mengine, walau tutapata Obama wetu na sisi
Aje atawale wapi?
Jamaa yako anazingua sana.usiwaze
wana hatukwamishani[emoji23]
yupi tenaJamaa yako anazingua sana.
Yule yule wa siku zote. Matusi kwake ndio nyumbani sio poa kabisa.yupi tena
huyu ye34nbe??Yule yule wa siku zote. Matusi kwake ndio nyumbani sio poa kabisa.
Ukianza na wewe ntakuchapa.