Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
Mathayo 5:44


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Mathayo 5:45
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…