Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Ni member gani JF humpendi ama unamchukia, ila sio kwa ubaya?

Acha kabisaaaa JF itasimama kwa muda, majukwaa yote yataungana kucheck ilo tukio la kihistoria kuwahi kutokea JF

Maadui wote wataungana kuwa marafiki, kifupi itakuwa tafrani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maadui wataungana kuwa marafikii, uduguuu sikuweziii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Emu achana na sifaa bhanaa wee, nitumiee hukooo.
Nidharirikee mjinii nawee upooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sahivi nadevelop kutokaa uduguuu, hadi kuwa Chawaaaaa.
Habari ndo hiyooooo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe sasa?!!

Bado hujanishawishi, nipoze kwanza maumivu ya kupewa talaka 100 kwa wakati mmoja
 
Acha kabisaaaa JF itasimama kwa muda, majukwaa yote yataungana kucheck ilo tukio la kihistoria kuwahi kutokea JF

Maadui wote wataungana kuwa marafiki, kifupi itakuwa tafrani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi flan na flan wataunganaa? Mhhh hunidanganyi kweliii
 
Hadi flan na flan wataunganaa? Mhhh hunidanganyi kweliii

Wataungana nakwambia mwamba akifungua piem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wote mimi na yeye tutajipa life ban

Wazee kwa vijana wote watakua same age ili wasipitwe tu na hilo tukio la kihistoria

Wewe acha sema Yesu ndio mlinzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe sasa?!!

Bado hujanishawishi, nipoze kwanza maumivu ya kupewa talaka 100 kwa wakati mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa pesa hizo talakaa hata ziwe 500 huwezi stukaa, hebu sema vizurii uduguu.
 
Wataungana nakwambia mwamba akifungua piem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wote mimi na yeye tutajipa life ban

Wazee kwa vijana wote watakua same age ili wasipitwe tu na hilo tukio la kihistoria

Wewe acha sema Yesu ndio mlinzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222]
Na ajalie yale yetu yabaki yetu. Na tusije chat na watoto maana tunaweza dhalilika na kukimbia jf🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa pesa hizo talakaa hata ziwe 500 huwezi stukaa, hebu sema vizurii uduguu.

Useme talaka yako unapokea kwa njia ipi? Isije kuchanika kabla mlengwa hujaipata ooh

Bas visokorokwinyo vimetega vinasoma, vinaachaa kulala na hili baridi sijui km wameoga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatamani iwe kweliiiiiii
 
Useme talaka yako unapokea kwa njia ipi? Isije kuchanika kabla mlengwa hujaipata ooh

Bas visokorokwinyo vimetega vinasoma, vinaachaa kulala na hili baridi sijui km wameoga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanatamani iwe kweliiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipee kablaa sijapotezaa mood ya kuisomaa.
 
Na ajalie yale yetu yabaki yetu. Na tusije chat na watoto maana tunaweza dhalilika na kukimbia jf[emoji1787][emoji1787]

Yetu yapi nawe, unaanza uchawi nikose baby mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona uwanga mapema, huyu boss hataki uswahili hebu tulia bas

Afu naenda kulala kesho nawahi misa ya kwanza church dada mwenyekiti wa viwawa [emoji4][emoji4]
 
Yetu yapi nawe, unaanza uchawi nikose baby mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona uwanga mapema, huyu boss hataki uswahili hebu tulia bas

Afu naenda kulala kesho nawahi misa ya kwanza church dada mwenyekiti wa viwawa [emoji4][emoji4]
Ukishatokaa kanisani, saidia wasiojiweza na maskini, mie ni m1 wapo, nasubiri msaada wako kesho.[emoji120][emoji120]

[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipee kablaa sijapotezaa mood ya kuisomaa.

Utangulizi tu unaenda kutapika km una mimba changa, si unazijua shombo zake lakini?!! Jiandae kufwaaaaaazzzz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unasoma huku unatukana km mnajibizana nae live, kumbe maandishi tyuuu
 
Ukishatokaa kanisani, saidia wasiojiweza na maskini, mie ni m1 wapo, nasubiri msaada wako kesho.[emoji120][emoji120]

[emoji23][emoji23]

Usaidiwe kiwete wewe?!!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Na umetoka kuchange dollar bureau leo kutoka kwa shemeji kiranga
 
Yetu yapi nawe, unaanza uchawi nikose baby mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona uwanga mapema, huyu boss hataki uswahili hebu tulia bas

Afu naenda kulala kesho nawahi misa ya kwanza church dada mwenyekiti wa viwawa [emoji4][emoji4]
Lugha yanguuuu.
Usichat na watoto siku wanaweza yaleta hapa, hivyo hivyo kwanguu 🤣🤣🤣 hapo sijui nmeeleweka sasa
 
Lugha yanguuuu.
Usichat na watoto siku wanaweza yaleta hapa, hivyo hivyo kwanguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sijui nmeeleweka sasa

Pm nimefunga muda sitaki kero ss hivi, msg unazikuta nyingi km uko fb

Halafu upuuzi mtupu hakuna cha maana
Nimeachia watu wachache tyuu wanaojielewa tunaopeana ushauri wa kibiashara za wahabeshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili ndogo (mbovu) zinaongelea watu.
 
Pm nimefunga muda sitaki kero ss hivi, msg unazikuta nyingi km uko fb

Halafu upuuzi mtupu hakuna cha maana
Nimeachia watu wachache tyuu wanaojielewa tunaopeana ushauri wa kibiashara za wahabeshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sawa ila cocastic afunge yake
 
Back
Top Bottom