Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Nahisi walienda wale wanaojiweza kimtindo.

Hii mambo Imefia wapi siku hizi? Ni kitu kizuri sana.

Distributed Denial-of-Service

Walienda wanaoishi DAR wengi wao na huenda waliokuwepo hapo lakini walikuwa wa kila aina hata aliepeleka biscuit tu na maji
Lakini wagonjwa walifarijika sana kwa uwepo wao tu
Ni njia nzuri ya kujua haya maisha hayana formula
Huwezi kujua ya kesho Be humble


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Walienda wanaoishi DAR wengi wao na huenda waliokuwepo hapo lakini walikuwa wa kila aina hata aliepeleka biscuit tu na maji
Lakini wagonjwa walifarijika sana kwa uwepo wao tu
Ni njia nzuri ya kujua haya maisha hayana formula
Huwezi kujua ya kesho Be humble


Sent from my iPhone using Tapatalk
Sure!
Af sjaiskia tena hii mambo au pesa tatizo?

Distributed Denial-of-Service
 
uyo namba tano ni msukule usiombe ukutane nae unaweza kukimbia mpaka ukadondosha moyo
Hahahahaha.

Hapana mtu aliyemuongelea positive wengi wanamkandia sana. Jamaa anahitaji maombi mazito ya kufunga, kusifu & kuabudu.

Distributed Denial-of-Service
 
Hahahahaha.

Hapana mtu aliyemuongelea positive wengi wanamkandia sana. Jamaa anahitaji maombi mazito ya kufunga, kusifu & kuabudu.

Distributed Denial-of-Service
Yeye mwenyewe ndio anayejisababishia hasira za watu ziwake juu yake mimi sikuwahi kuwa na bifu na yule mpuuzi kuna kitu tu niliuliza kwenye thread yake akanitusi toka siku hiyo namuona kama kima hivi tu majuzi alikejeli nikarudisha na tusi zito na ban nikala
 
Yeye mwenyewe ndio anayejisababishia hasira za watu ziwake juu yake mimi sikuwahi kuwa na bifu na yule mpuuzi kuna kitu tu niliuliza kwenye thread yake akanitusi toka siku hiyo namuona kama kima hivi tu majuzi alikejeli nikarudisha na tusi zito na ban nikala
Alikujaga na ID flani ya eagle nini sjui.. Asee alikua anamwaga sumu sana hasa ukimwambia yeye ni Genta hamna rangi utaacha ona.

Distributed Denial-of-Service
 
Back
Top Bottom