Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Alikujaga na ID flani ya eagle nini sjui.. Asee alikua anamwaga sumu sana hasa ukimwambia yeye ni Genta hamna rangi utaacha ona.

Distributed Denial-of-Service
Sehemu kama hizi ni za watu kuuachia upumbavu wao halisi, huko alipo mtu kama yule huwezi achia upumbavu wake fully vinginevyo kila mtu atamchukia,vile alivo haigizi ni mpumbavu naturally,halafu yeye huwa anakejeli sana watu ila ukimpa scud moja takatifu anaanza kuwaita mods
 
JF Inaweza kuwa zaidi ya Forum kama members wengi wataamua kuanzisha something like Charity. Shida Inakuja kwenye uaminifu na Identity.

Distributed Denial-of-Service

Mkuu waaminifu ni wachache sana hata tukimpa tajiri wetu humu kiduku bado atatupiga tu
Huwa natamani kusaidia ila unashindwa kujua kama ni authentic au tapeli tu



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hahahahaha! Mkuu tujiandae kwa matusi mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakagi vitisho vyake vya kwenye comment ngedere yule,kafunga PM huwa natakaga nichonge nae kimya kimya ili tufahamiane kimya kimya,huku kwenye Comment atahisi napenda sifa au najigamba nionekane.

ila ahadi yangu kwake itabaki pale pale mama kija yule
 
Back
Top Bottom