Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika + kumalizia vyema sana mkuu.

Bravo

Distributed Denial-of-Service
 
Hivi tunaanzaje kuonana mtu unavaa ndala au sendo unatembea nazo mjini unaangalia mpira kwenye vibanda hujawahi hata kumiliki passport dah never hatuwezi onana na maisha yenu ya kuigiza hamuishi uhalisia wengi wenu hata uwanja wa ndege wa jknia hamjawahi kufika hata kwenye car parking Sasa tunaanzaje kukutana kea mfano mtu unanunua umeme wa luku wa elfu mbili huna madem wakali hujui hata fuel consumption ya magari hujui hata mfumo wa kubadili dola au foreign currency wengi humu mnanunua nguo za mitumba ila mkija jf mnajifanya supa wakati hata remote za tv hamjui kutumia mtu unakaa mji una joto Tanzania Kama Tanga na dar lakini huna air condition kwenye nyumba yako tunakutanaje acheni nonsense watu hata hamjawahi kutembelea mbuga za wanyama ndani ya nchi yenu maisha magumu vocha mnaweka za elfu tano na vibando vya gb tano kumi ndio umejitahiiiidi

Kukutana na mijitu ya Aina yenu humu Ni mbingu na ardhi poor you!!
 
Kiduku Lilo kumbe na hii ni ID yako!!

Distributed Denial-of-Service
 
Pamoja mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…