Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Habari ndugu yangu. Mimi nipo sema mara nyingi nakuwa nje ya nchi. Tz nikija nakaa si zaidi ya miezi miwili.ndo maana sometime inakuwa ngumu kuonana na wadau.but nikiwepo mchana tunaweza onana katika zile hotels zilizopo katikati ya jiji.mara nyingi napata lunch huko sababu ndo naona angalau mazingira ya hizo hotels ni safi na salama.

Ntakuja early of january tutaonana....mnatunyima nini huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Madame Heaven on Earth yupo? Kitambo sana namuelewaga. Kuna Dada wa Kimasai.

Kwa washkaji wengi sana. MLEVi Mmoja, Mshana Jr, Baba Swalehe Jambazi pia kuna wadau wa uzi wa Kupeana Likes na Usiku wa Manane wale tunaonana mulemule tu kwakua mchana tumelala.

Pia kuna jamaa wawili wanaitwa 911 na Mahondaw sijui mwanamke yupi na Mwanaume yupi ila nahisi ni couple nao nawakubali sana.

Kuna jamaa anaitwa Kiranga sema nikimtag atauliza kwanini unataka tuonane. Ila jamaa ana maswali/mijadala fikirishi sana naweza gain vitu kutoka kwake,

Kuna mshikaji anaitwa Chief-Mkwawa jukwaa la tech huyu jamaa sijawahi muona jukwaa jingine na ana msaada sana ukimuuliza inbox au comment, sema hajawahi kutoa like ata moja ina anapokea tu (kinyume na mkwepu jr ).

Sema for the sake of anonymity wengi hatutaweza onana. Ila all in all wengi sana washkaji humu.
Umeandika + kumalizia vyema sana mkuu.

Bravo

Distributed Denial-of-Service
 
Hivi tunaanzaje kuonana mtu unavaa ndala au sendo unatembea nazo mjini unaangalia mpira kwenye vibanda hujawahi hata kumiliki passport dah never hatuwezi onana na maisha yenu ya kuigiza hamuishi uhalisia wengi wenu hata uwanja wa ndege wa jknia hamjawahi kufika hata kwenye car parking Sasa tunaanzaje kukutana kea mfano mtu unanunua umeme wa luku wa elfu mbili huna madem wakali hujui hata fuel consumption ya magari hujui hata mfumo wa kubadili dola au foreign currency wengi humu mnanunua nguo za mitumba ila mkija jf mnajifanya supa wakati hata remote za tv hamjui kutumia mtu unakaa mji una joto Tanzania Kama Tanga na dar lakini huna air condition kwenye nyumba yako tunakutanaje acheni nonsense watu hata hamjawahi kutembelea mbuga za wanyama ndani ya nchi yenu maisha magumu vocha mnaweka za elfu tano na vibando vya gb tano kumi ndio umejitahiiiidi

Kukutana na mijitu ya Aina yenu humu Ni mbingu na ardhi poor you!!
 
Hivi tunaanzaje kuonana mtu unavaa ndala au sendo unatembea nazo mjini unaangalia mpira kwenye vibanda hujawahi hata kumiliki passport dah never hatuwezi onana na maisha yenu ya kuigiza hamuishi uhalisia wengi wenu hata uwanja wa ndege wa jknia hamjawahi kufika hata kwenye car parking Sasa tunaanzaje kukutana kea mfano mtu unanunua umeme wa luku wa elfu mbili huna madem wakali hujui hata fuel consumption ya magari hujui hata mfumo wa kubadili dola au foreign currency wengi humu mnanunua nguo za mitumba ila mkija jf mnajifanya supa wakati hata remote za tv hamjui kutumia mtu unakaa mji una joto Tanzania Kama Tanga na dar lakini huna air condition kwenye nyumba yako tunakutanaje acheni nonsense watu hata hamjawahi kutembelea mbuga za wanyama ndani ya nchi yenu maisha magumu vocha mnaweka za elfu tano na vibando vya gb tano kumi ndio umejitahiiiidi

Kukutana na mijitu ya Aina yenu humu Ni mbingu na ardhi poor you!!
Kiduku Lilo kumbe na hii ni ID yako!!

Distributed Denial-of-Service
 
Hivi Madame Heaven on Earth yupo? Kitambo sana namuelewaga. Kuna Dada wa Kimasai.

Kwa washkaji wengi sana. MLEVi Mmoja, Mshana Jr, Baba Swalehe Jambazi pia kuna wadau wa uzi wa Kupeana Likes na Usiku wa Manane wale tunaonana mulemule tu kwakua mchana tumelala.

Pia kuna jamaa wawili wanaitwa 911 na Mahondaw sijui mwanamke yupi na Mwanaume yupi ila nahisi ni couple nao nawakubali sana.

Kuna jamaa anaitwa Kiranga sema nikimtag atauliza kwanini unataka tuonane. Ila jamaa ana maswali/mijadala fikirishi sana naweza gain vitu kutoka kwake,

Kuna mshikaji anaitwa Chief-Mkwawa jukwaa la tech huyu jamaa sijawahi muona jukwaa jingine na ana msaada sana ukimuuliza inbox au comment, sema hajawahi kutoa like ata moja ina anapokea tu (kinyume na mkwepu jr ).

Sema for the sake of anonymity wengi hatutaweza onana. Ila all in all wengi sana washkaji humu.
Pamoja mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom