Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Sure! Nakumbuka pindi Ile nimepinda balaa af nkamchangia Nyete daaah!! nlitamani kulia nlivojua nimetapeliwa

Distributed Denial-of-Service

Pole sana Mkuu
Mimi acha mtu anaehitaji yaani huwa nashindwa kumwelewa mtu kama ni me au Ke [emoji23]
Ndio maana hata PM sikujui kukoje
Mungu anisamehe maana huwa inaniwia vigumu kuwatambua watu humu na kubaki na shuku tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom