Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wote wenye macho lakini wanajifanya vipofu I mean wale wote Chawa walioamua kufumba macho, na masikio yao, muda wote kwao ni mapambio na kuabudu kusiko na maanaKupenda, kuponda, hata kuchukia ni haki za mtu. Je ni members wapi unawakened au kuwaponda hapa jf na kwanini?
Naongezea ni wapumbavuChawa wote ni wapuuzi tu
Nyambuzzz wewe , Fanya yako Maarass
Oya Swordmaster nitwangie Maghayo The Mongolian Savage , hili zee Nyabumbu linapaswa likandwe kweli kweli ...I mean no malice to nobody,
hatuwezi kuondoa utofauti wa kimawazo, ila chuki sio style yangu.
UumbwaaaOya Swordmaster nitwangie Maghayo The Mongolian Savage , hili zee Nyabumbu linapaswa likandwe kweli kweli ...
Nyau de adriz 😂😂Uumbwaaa
I mean no malice to nobodyOya Swordmaster nitwangie Maghayo The Mongolian Savage , hili zee Nyabumbu linapaswa likandwe kweli kweli ...
Mzee mzima ,kiranja wa machawa na bingwa wa kujikomba na kujipendekeza ,mzee wa kububujikwa na machozi ,,,ndugu LukaKupenda, kuponda, hata kuchukia ni haki za mtu. Je ni members wapi unawakened au kuwaponda hapa jf na kwanini?
Umeishia darasa la ngap ww huwez todautisha ni wakat gan wa kutumia L na R??Mimi nawaheshimuni watu wote ikiwemo wewe mwenyewe. Kupenda ni hiari ya mtu na huwezi kupendwa na watu wote. hata yesu pamoja na kufanya miujiza na kuponya watu lakini kuna watu walimchukia na kumsurubisha
Umemtolea uvivu kabla hajakutaja 🙂Ukapimwe kwanza akili yako maana inaonyesha una dalili zote za Magonjwa ya akili.