Ni members gani huwapendi humu JF?

Ni members gani huwapendi humu JF?

Wewe kenge kwenye uzi wangu nilitukanwa na Bujibuji ukawa unashabikia. Chuki ni sehemu ya maisha yako.
Mkuu kwani ule si mli kuwa mna fanya utani na Bujibuji Simba Nyamaume, mimi ukenge wangu ni kuuliza swali?.

Mkuu mimi niwe na chuki na wewe ili iweje?, hapa napiga hesabu nina order ya mifuko 1200 ya unga wa sembe.
I got no time to beef with anyone!
MamaSamia2025 , I am very sorry brother, mi nilikuwa najua ni utani tu, nisamehe sana Kaka.

Hivi katika hali ya kawaida naanzaje kukutukana mwanaume mwenzangu?
 
Back
Top Bottom