Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

😜 we sema kweli!!
Ms R njoo mdogoangu si ulisema unapenda wanaume wenye pesa. Kuna tajiri huku haogopi kumwaga pesa etii..!!! 🀣
Akiii ona huyu!!??
Aaagh Lamomy so mtu mzuri akuingiza shimoni hivi hiviπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈ.
 
Urembo na uzuri upo ndani kwa nje mnajiongopea - Ngosha Ze Don

Beauty is in the eyes of the beholder - Anon
 
Si umesema unaishi na watu waliokudhulumu na hujali!! Sasa unalalamika nini tena joomooni!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani ndio unilengeshe kwa kausha damuu pro max!?
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈ
Aiseee!!
Hata binti mstaarabu(kausha damu mtoto) kama ephen_ ukamkosa jamani wa kunilengesha!?
 
Mimi napenda watu ambao sio waoga ndio nimekupa huyo Ms R tena huyo bado hajakubuhu..!! Au nikuitie kausha damu wenyewe OG πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi napenda watu ambao sio waoga ndio nimekupa huyo Ms R tena huyo bado hajakubuhu..!! Au nikuitie kausha damu wenyewe OG πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akuuuh nimeghairi,nishakumbuka nina mke.
Wacha nikitulizeπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…