Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ boom alitoe wapi akishadisco huyo
Ss hivi kawa Mario hajakwambia??
Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ujue wewe ni mshenzi sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwaio mimi nichukue marioo nilee sio, unanpenda kwel wew
 
Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ujue wewe ni mshenzi sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwaio mimi nichukue marioo nilee sio, unanpenda kwel wew
Wifi ww beba huyo uwe unampa vipesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kikubwa kazi zote awe anafanya mpk kule kigoma uvinza afike 🀣
 
Wifi ww beba huyo uwe unampa vipesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kikubwa kazi zote awe anafanya mpk kule kigoma uvinza afike 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hua najiona nna maneno sana ila hapa nmekoma,,, sitaki mimi ujue sitaki kwel
 
Utajua hujui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sisi tunajua kuoa na kuolewa, hatujui kuachika
Hapana,,uyo lazma anashida kwaio umeniona mie zube nijichukulie tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sasa ni ivi nimesanukaaaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hua najiona nna maneno sana ila hapa nmekoma,,, sitaki mimi ujue sitaki kwel
🀣🀣🀣 Mbona mi mpole jomoooni.!!
Hawajakwambia km mi nimeokoka humu?
 
Hapana,,uyo lazma anashida kwaio umeniona mie zube nijichukulie tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sasa ni ivi nimesanukaaaa
Kijana yuko vizuri shauri yako, PESA tyuu ndo hana mdogo wangu. Ila soon atajipata ww fanya uchukue jimbo mapema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kwanza tulianzaje kuchat mimi nawewe mbona najutaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ simtaki kaka ako mm bwana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi natokeaga km β€œMZIMU”
Kaka unaye na unatamba naye
 
Kijana yuko vizuri shauri yako, PESA tyuu ndo hana mdogo wangu. Ila soon atajipata ww fanya uchukue jimbo mapema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
nasemaje tokaaaaa poteeaaaaaa nisikuone tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom