[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.Kesi ya kupoteza Cleensheet iliisha vipi mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka niku-tag nikaingiwa mashaka
Ni kila kona hata hapo juu si unaona Evalini Chumvi kalianzisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.
Huo uzi uko wapiiii? Nataka nikajibu hiyo tuhumaa.
Kanitag harakaaa, tena sahivi.
1: Ulisema kuna siku ulienda Makumbusho (DSM) watu wakakushangaa! Sijajua kama waliona kinyago au malaika! Ila mwenyewe ulijisifia!em sema kwelii?
Asante❤️
Ya kweli hayo😅Asante🤸
👏👏Ahsante sana mkuu 🥰
Wapo ila sitowataja😉😉
Wewe ni mdada tena mrembo tu sema umeamua kucheza na hilo biti wanalopiga hivyo hivyo.😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.
Huo uzi uko wapiiii? Nataka nikajibu hiyo tuhumaa.
Kanitag harakaaa, tena sahivi.
Ya kweli niniYa kweli hayo😅
Hata kama kalalia simu yako au pochi yako?Aliyelala usimuamshe😂
Mimi nimeuliza swali tu ndio maana nikaweka question mark.Kila changamato ina jinsi ya kudeal nalo
Changamoto ya min -me ni aliyelala usimuamshe
Unayoizungumzia tafuta namna ya kudeal nalo
Jidanganye tu, Midume mingi ina ID za kike humuAchila mbali IDs au avatar yake...
Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
FaizaFoxyAchila mbali IDs au avatar yake...
Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
[emoji104][emoji104]Ni kila kona hata hapo juu si unaona Evalini Chumvi kalianzisha
Anyways nafurahi kukuona hapa jukwaani ila nijibu kwa emoji nafsi isuuzike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuhusu Makumbusho, walinishangaa kwa kuwa nltokelezeaa kinomaa.1: Ulisema kuna siku ulienda Makumbusho (DSM) watu wakakushangaa! Sijajua kama waliona kinyago au malaika! Ila mwenyewe ulijisifia!
2: Mwenyewe huwa unajisifia humu kuwa unayaweza! Ukijumlisha na kabila lako ambalo huwa mnaenda unyago plus movie za X, unaonekana bonge la fundi!
Tatizo unaweza kuwa fundi halafu usiwe mtamu! Maligend wenzangu watakuwa wanalifahamu hili!