Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Kesi ya kupoteza Cleensheet iliisha vipi mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]

Nilitaka niku-tag nikaingiwa mashaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.
Huo uzi uko wapiiii? Nataka nikajibu hiyo tuhumaa.

Kanitag harakaaa, tena sahivi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.
Huo uzi uko wapiiii? Nataka nikajibu hiyo tuhumaa.

Kanitag harakaaa, tena sahivi.
Ni kila kona hata hapo juu si unaona Evalini Chumvi kalianzisha


Anyways nafurahi kukuona hapa jukwaani ila nijibu kwa emoji nafsi isuuzike
 
em sema kwelii?
1: Ulisema kuna siku ulienda Makumbusho (DSM) watu wakakushangaa! Sijajua kama waliona kinyago au malaika! Ila mwenyewe ulijisifia!

2: Mwenyewe huwa unajisifia humu kuwa unayaweza! Ukijumlisha na kabila lako ambalo huwa mnaenda unyago plus movie za X, unaonekana bonge la fundi!

Tatizo unaweza kuwa fundi halafu usiwe mtamu! Maligend wenzangu watakuwa wanalifahamu hili!
 
Wapo ila sitowataja😉😉
downloadfile-1.gif
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uliogopa nn? Ungenitag tyuuh.
Huo uzi uko wapiiii? Nataka nikajibu hiyo tuhumaa.

Kanitag harakaaa, tena sahivi.
Wewe ni mdada tena mrembo tu sema umeamua kucheza na hilo biti wanalopiga hivyo hivyo.😁😁
 
J
Achila mbali IDs au avatar yake...

Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
Jidanganye tu, Midume mingi ina ID za kike humu
 
Achila mbali IDs au avatar yake...

Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
FaizaFoxy
 

Attachments

  • Screenshot_20230204-164033_Lite.jpg
    Screenshot_20230204-164033_Lite.jpg
    962.8 KB · Views: 2
1: Ulisema kuna siku ulienda Makumbusho (DSM) watu wakakushangaa! Sijajua kama waliona kinyago au malaika! Ila mwenyewe ulijisifia!

2: Mwenyewe huwa unajisifia humu kuwa unayaweza! Ukijumlisha na kabila lako ambalo huwa mnaenda unyago plus movie za X, unaonekana bonge la fundi!

Tatizo unaweza kuwa fundi halafu usiwe mtamu! Maligend wenzangu watakuwa wanalifahamu hili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuhusu Makumbusho, walinishangaa kwa kuwa nltokelezeaa kinomaa.

Kuhusu mizagamuo niko vyedii, na utamuu ninao wa kushatooo.
 
Back
Top Bottom