Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaonekana ni mrembo haswaachila mbali IDs au avatar yake...
ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu na ni visionary [emoji205]
Au wakaoge kwenye swimming pool yenye acid 😂Hilo halina ubishi wanaobisha wakanye boga 😂😂😂
Ole wao wanaoamini tu bila kuona kwa macho ,hao wataishia tu kula kwa macho.Thibitisha
Tuliza komwe , na sikutaji.Please can someone teach me how to tag/mention member humu ndichi?😫napitwa sana na mada kama hizi.
Kabisaaaaa..!! 🤸♀️Au wakaoge kwenye swimming pool yenye acid 😂
Hawa madada wanaonekana ni wazuri na warembo licha ya umri wao kusogea yaani ni mashangazi!ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani,
Erythrocyte kula chuma hicho 😂Erythrocyte anaonekana ni mchafu sana,hata kusafiri toka kyela hajawahi.
Sawa sawaZa mapenzi
Kwan hujasoma kua tutaje na watanashati😂 naelewa wewe ni kidumeMimi ni kidume wewe nitaje tu shauri yako😁😁😁
Shem tena 😔Kabisaaaaa..!! 🤸♀️
Sio shida zetu shem wangu, mi na wapare mpk waniue 🤣🤣🤣
"Mshangazi uliojipata"1. Hannah anaonekana ni mtaratibu, mrembo kisu balaa. Huwa anachangia kwa utulivu sana.
2. Dr Lizzy naye ni kama mrembo msomi mwenye utulivu sana.
3. Ila Evelyn Salt ni shangazi fulani hivi mwenye msimamo mkali hatari na hatakagi mazoea. Huyu ni sawa na Miss Natafuta.
4. Huyu To yeye ni mwalimu mzoefu na mtu poa matured sana.
5. Lamomy ni mcheshi na anapenda kampani sana.
Sawa kabisa.🔥🔥🔥🙌"Mshangazi uliojipata"
Andika alama hii @ kabla ya jina la member usiache nafasi.Please can someone teach me how to tag/mention member humu ndichi?😫napitwa sana na mada kama hizi.