Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Achila mbali IDs au avatar yake...

Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
Mbona sitajwi jamani???
 

Attachments

  • Screenshot_20221003-150930~4.jpg
    Screenshot_20221003-150930~4.jpg
    22.1 KB · Views: 4
Achila mbali IDs au avatar yake...

Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain fulani hivi wanaovutia na kujielewa, lakini pia ni magentlemen flani hivi watanashati kweli kweli kimuonekano, wataratibu, focused na ni visionary haswaaa 🐒
Humu Jamii Forum sidhani kama Kuna Mabinti aged 18 mpaka 25 wengi wakio humu unaona ni age Go yaani Jua lishazama miaka 35 kwenda juu maana Kungekua na Vijana ungeona Post za ujana zile za kupevuka Humu Kuna mishangazi tu
 
Back
Top Bottom