Ni Mfumo upi masbariki ya kati imetimiza malengo

Ni Mfumo upi masbariki ya kati imetimiza malengo

Joined
May 27, 2022
Posts
11
Reaction score
58
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la

1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la kwanza

2. mali ma rasilimali za Taifa vikiwemo vifaa vya kijeshi na vinginevyo

Katika hili ni dhairi kuwa pasipo ubishi Izrael imefanikiwa sana kuwalinda Raia na wapiganaji wake , huu n ukweli ambao ata mimi siupendii

Japo shambulizi la oct 1 la Irani lilikuwa la ufanisi sana ila halikulenga raia wala kuua mpiganaji yeyote japo liliaribu F35 za kutosha but mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi

Izrael juzi Imearibu rasilimali kidgo ila imeondoka na uhai wa wapganaji wetu hili n pigo kubwa sana kwetu waaarabu, tukiukataa ukweli huu tutakuwa vilaza wakubwa kwamba hatujali uhai wa watu wetu.

Ili heshima irudi Irani lazma ilpeleke moto ambao itahakikisha tunawatanguliza raia au wapganaji wa Izrael kwa Lusifa japo kwa mbali nauona mwisho wa Iran na Ayatolla anajua

Mnaweza msinielewe kama mna akili ndogo ila kaa ukijua hapa ni mwenye kisu anapigana na ambaye hana kisu kwa kutumia ngumi hivi unadhani mwenye kisu anaweza kukubali kushindwa kwa namna yoyote? Iran hana kisu maskini Izrael akishindwa atatumia Atomic au hydrogen na huu ndo ukweli
 
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la

1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la kwanza

2. mali ma rasilimali za Taifa vikiwemo vifaa vya kijeshi na vinginevyo

Katika hili ni dhairi kuwa pasipo ubishi Izrael imefanikiwa sana kuwalinda Raia na wapiganaji wake , huu n ukweli ambao ata mimi siupendii

Japo shambulizi la oct 1 la Irani lilikuwa la ufanisi sana ila halikulenga raia wala kuua mpiganaji yeyote japo liliaribu F35 za kutosha but mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi

Izrael juzi Imearibu rasilimali kidgo ila imeondoka na uhai wa wapganaji wetu hili n pigo kubwa sana kwetu waaarabu, tukiukataa ukweli huu tutakuwa vilaza wakubwa kwamba hatujali uhai wa watu wetu.

Ili heshima irudi Irani lazma ilpeleke moto ambao itahakikisha tunawatanguliza raia au wapganaji wa Izrael kwa Lusifa japo kwa mbali nauona mwisho wa Iran na Ayatolla anajua

Mnaweza msinielewe kama mna akili ndogo ila kaa ukijua hapa ni mwenye kisu anapigana na ambaye hana kisu kwa kutumia ngumi hivi unadhani mwenye kisu anaweza kukubali kushindwa kwa namna yoyote? Iran hana kisu maskini Izrael akishindwa atatumia Atomic au hydrogen na huu ndo ukweli
Una akili timamu? Yaan maisha ya watu uongelee kishabiki kama mpira au majongoo yamejaa kichwani? Shabikia mpira acha upambavu wa kushabikia uhai wa binadamu wenzio
 
Kuna uwezekano mkubwa SHAMBULIO la juzi kwa IRANI halikufanikiwa ISRAELI kwa kwa walivyotaka hata kwa 5% Yaan lilifail kwa 95%
jinsi ninavyowajua WAZAYUNI na vyombo vya habari vya west basi kungetapaa picha mavideo na tambo za kutosha
tambo pekee ninazoziona kila kona ni kuwa NDEGE 100 zote zimerudi salama
Aaaah sasa hizo ndege 100 zilienda kufanya nini utalii au
watakujibu ANGA la iran lipo UCHI halina ulinzi ndege zimeingia na kutoka zote salama
FB_IMG_1724318129564.jpg
 
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la

1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la kwanza

2. mali ma rasilimali za Taifa vikiwemo vifaa vya kijeshi na vinginevyo

Katika hili ni dhairi kuwa pasipo ubishi Izrael imefanikiwa sana kuwalinda Raia na wapiganaji wake , huu n ukweli ambao ata mimi siupendii

Japo shambulizi la oct 1 la Irani lilikuwa la ufanisi sana ila halikulenga raia wala kuua mpiganaji yeyote japo liliaribu F35 za kutosha but mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi

Izrael juzi Imearibu rasilimali kidgo ila imeondoka na uhai wa wapganaji wetu hili n pigo kubwa sana kwetu waaarabu, tukiukataa ukweli huu tutakuwa vilaza wakubwa kwamba hatujali uhai wa watu wetu.

Ili heshima irudi Irani lazma ilpeleke moto ambao itahakikisha tunawatanguliza raia au wapganaji wa Izrael kwa Lusifa japo kwa mbali nauona mwisho wa Iran na Ayatolla anajua

Mnaweza msinielewe kama mna akili ndogo ila kaa ukijua hapa ni mwenye kisu anapigana na ambaye hana kisu kwa kutumia ngumi hivi unadhani mwenye kisu anaweza kukubali kushindwa kwa namna yoyote? Iran hana kisu maskini Izrael akishindwa atatumia Atomic au hydrogen na huu ndo ukweli
Kwani yeye hana atomic B.?
 
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la

1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la kwanza

2. mali ma rasilimali za Taifa vikiwemo vifaa vya kijeshi na vinginevyo

Katika hili ni dhairi kuwa pasipo ubishi Izrael imefanikiwa sana kuwalinda Raia na wapiganaji wake , huu n ukweli ambao ata mimi siupendii

Japo shambulizi la oct 1 la Irani lilikuwa la ufanisi sana ila halikulenga raia wala kuua mpiganaji yeyote japo liliaribu F35 za kutosha but mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi

Izrael juzi Imearibu rasilimali kidgo ila imeondoka na uhai wa wapganaji wetu hili n pigo kubwa sana kwetu waaarabu, tukiukataa ukweli huu tutakuwa vilaza wakubwa kwamba hatujali uhai wa watu wetu.

Ili heshima irudi Irani lazma ilpeleke moto ambao itahakikisha tunawatanguliza raia au wapganaji wa Izrael kwa Lusifa japo kwa mbali nauona mwisho wa Iran na Ayatolla anajua

Mnaweza msinielewe kama mna akili ndogo ila kaa ukijua hapa ni mwenye kisu anapigana na ambaye hana kisu kwa kutumia ngumi hivi unadhani mwenye kisu anaweza kukubali kushindwa kwa namna yoyote? Iran hana kisu maskini Izrael akishindwa atatumia Atomic au hydrogen na huu ndo ukweli
Hivi unahabari Iran kila siku anaua magaidi ya IDF na US, UK kupitia hizbollah hamas na Houth? Ningekua mimi maamuzi yangu Iran angeachana na ujinga wa piga ni kupige aendelee na projects za uchumi ili awe strong zaidi hao wengine ni kuwatafutia tu hela na vifaa vita proxy zake asipoteze kabisa muda
 
Kwa kuanza, niwafahamishe maana ya mifumo ya ulinzi .. hii ni dhana nzima inayohusu kulinda watu, wapiganaji na mali zao kwa ujumla dhidi ya pande korofi, mifumo yote ya ulinzi ina lengo la

1. kuweka raia na wapiganaji salama, hili ndilo lengo la kwanza kwa Taifa lolote timamu utu ni jambo la kwanza

2. mali ma rasilimali za Taifa vikiwemo vifaa vya kijeshi na vinginevyo

Katika hili ni dhairi kuwa pasipo ubishi Izrael imefanikiwa sana kuwalinda Raia na wapiganaji wake , huu n ukweli ambao ata mimi siupendii

Japo shambulizi la oct 1 la Irani lilikuwa la ufanisi sana ila halikulenga raia wala kuua mpiganaji yeyote japo liliaribu F35 za kutosha but mali zinatafutwa ila uhai hautafutwi

Izrael juzi Imearibu rasilimali kidgo ila imeondoka na uhai wa wapganaji wetu hili n pigo kubwa sana kwetu waaarabu, tukiukataa ukweli huu tutakuwa vilaza wakubwa kwamba hatujali uhai wa watu wetu.

Ili heshima irudi Irani lazma ilpeleke moto ambao itahakikisha tunawatanguliza raia au wapganaji wa Izrael kwa Lusifa japo kwa mbali nauona mwisho wa Iran na Ayatolla anajua

Mnaweza msinielewe kama mna akili ndogo ila kaa ukijua hapa ni mwenye kisu anapigana na ambaye hana kisu kwa kutumia ngumi hivi unadhani mwenye kisu anaweza kukubali kushindwa kwa namna yoyote? Iran hana kisu maskini Izrael akishindwa atatumia Atomic au hydrogen na huu ndo ukweli
 
Back
Top Bottom