Ni Miaka ipi Watanzania mlikuwa mnapata vitu bure? Kwa mujibu wa Rais Samia

Ni Miaka ipi Watanzania mlikuwa mnapata vitu bure? Kwa mujibu wa Rais Samia

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Watu mna siri.... Nimeumia sana. Kumbe kuna kipindi mlikuwa mnapata vitu vya bure hata sisi wengine hamkutuambia?

Ni miaka gani hiyo bandugu? Sisi tuliozaliwa early 70s nadhani hilo neno halituhusu. Maana sikumbuki mimi ni vitu gani tulipewa bure na sasa tunatakiwa kulipia. Sikumbuki kabisa.

Nachosikitika inawezekana wakati mimi nalipia wenzangu walikuwa wanapewa bure.... Ni vitu gani ambavyo watanzania mlikuwa mnapata bure na sasa Rais anasema muanze kulipia?
 
Watu mna siri.... Nimeumia sana. Kumbe kuna kipindi mlikuwa mnapata vitu vya bure hata sisi wengine hamkutuambia?

Ni miaka gani hiyo bandugu? Sisi tuliozaliwa early 70s nadhani hilo neno halituhusu. Maana sikumbuki mimi ni vitu gani tulipewa bure na sasa tunatakiwa kulipia. Sikumbuki kabisa.

Nachosikitika inawezekana wakati mimi nalipia wenzangu walikuwa wanapewa bure.... Ni vitu gani ambavyo watanzania mlikuwa mnapata bure na sasa Rais anasema muanze kulipia?
Mama yenu aache Porojo

Hakuna mpenda Bure kama yeye mwenyekiti.

Hakuna Mpenda kuombaomba kama yeye Mwenyekiti.

Mwambieni huyo mamaenu hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenu!
 
Watu mna siri.... Nimeumia sana. Kumbe kuna kipindi mlikuwa mnapata vitu vya bure hata sisi wengine hamkutuambia?

Ni miaka gani hiyo bandugu? Sisi tuliozaliwa early 70s nadhani hilo neno halituhusu. Maana sikumbuki mimi ni vitu gani tulipewa bure na sasa tunatakiwa kulipia. Sikumbuki kabisa.

Nachosikitika inawezekana wakati mimi nalipia wenzangu walikuwa wanapewa bure.... Ni vitu gani ambavyo watanzania mlikuwa mnapata bure na sasa Rais anasema muanze kulipia?
Labda wanapeana bure wenyewe....kajisahau kufafanua(okkkk,nahisi umeme wa 27)
 
Hata mapenzi tunalipia....hakuna kitu tunapata bure watanzania.
 
N
Labda wanapeana bure wenyewe....kajisahau kufafanua(okkkk,nahisi umeme wa 27)
Namuona jamaa angu APA anawasha mshumaa ili aendelee na kaz... Umeme hamna Af duka la dawa.....khaaaaaaa
 
Yaan daaah
Wakina age ya 70 before labda watuambie ilikuwaje maana wenzangu na mm ....labda historia ya kale ndo tumekarr ...watuambie maana bei ya v2 inapanda na kushuka daily ata tumekaa kimya amna wa kuongelea hili somo ....duh sielewii ata itakuaje hali ikiendelea iv
 
Mbona na wenyewe tunalipia nguzo wanasema ni mali ya tanesco na umeme tunanunua tunakatiwa tunashinda hatuna vile vile au unazungumzia maji yapi hayo ambayo hayulipii bili na umeme luku imewekwa juu kabisa nje ya nyumba
Kwa mtazamo wake anaona tunapata bure ndio maana hata ukipanda bei leo jibu ndio hilo hilo msipende dezo.
Lini umeme na maji tunalipia miaka yote.
Kwa mtazamo wake anaona tunapata bure ndio maana hao jamaa wa Arusha walivyoshauri wapunguziwe bei ya maji karudia jibu lake la siku zote bure ghali ingekuwa ni maamuz yake angelipisha hata kivuli ndio maana kuna umuhimu wa kupata mtoto wa mkulima Jiwe.
 
Chukulia kama tunajenga wenyewe kwa pesa zetu za ndani na mikopo ndio hiyo hiyo pesa zetu za ndani kwa sababu tutalipa[emoji16]
 
Back
Top Bottom