Sasa mkuu uliona wapi mtu akafumaniwa alafu akawa mbabe,ukidakwa lazima unywee,ulitaka walete undava ilhali wao ndo wenye makosa?kunasiku nilishuhudia moran wakimasai wakipokea kipigo mpaka nikawaonea huruma walitembezewa fimbo utafikiri wanatumia umeme. dakika moja masai ashachezea fimbo zaid ya 120.
walikutwa na ngozi mbona walitoa ng'ombe wa tano.
Mkwe yupi baba mkwe au mama mkweMwanamke ulie olewa Kwenye familia ya ki Kerewe ni malufuku,na nikosa kubwa kutamka hadharan jina la mkweo hata kama jina la mkweo ndo jina ulilo muita mwanao naikitokea umejisahau ukalitamka utapigwa faini.hivyo basi unatakiwa ubuni jinalako la kifasihi ili kufikisha ujumbe ulio kusudia.
Sasa mkuu uliona wapi mtu akafumaniwa alafu akawa mbabe,ukidakwa lazima unywee,ulitaka walete undava ilhali wao ndo wenye makosa?
kulitamka hadharani ndio wenyewe wanasema "AMETOGOLA BABA MKWE WAKE" unaweza kulipa faini na kupewa onyo kwa utovu wa nidhamu!ni marufuku kutamka hadharani au hutakiwi kulitamka kabsa
Hahahaha umefanya kosa la jinai kweli tembea uonekulitamka hadharani ndio wenyewe wanasema "AMETOGOLA BABA MKWE WAKE" unaweza kulipa faini na kupewa onyo kwa utovu wa nidhamu!
Ndio maana kwenye makabila mfano wachaga, utakuta majina haya: BABUU, KADADAA, KABIBII pia wanaepuka kutaja majina ya wakweHahahaha umefanya kosa la jinai kweli tembea uone
Mwanao akiwa anaitwa jina la bibi au babu yako ni mtihani kwako kila mda unatakiwa uwe makini hapo
Uache kudanganya ummaNdio maana kwenye makabila mfano wachaga, utakuta majina haya: BABUU, KADADAA, KABIBII pia wanaepuka kutaja majina ya wakwe
Weka ukweli aga boyUache kudanganya umma
Walikuwa na maana gani mkuuTanga niliagizia samaki na ugali nilivyomaliza kula samaki upande nikamgeuza nikasikia wahudumu kwenye hotel teeeeeee amgeuza akosamke wewe nilishangaa sana
Ngoja nifanye kauchunguzi nahujaWeka ukweli aga boy
hayaNgoja nifanye kauchunguzi nahuja
Kumbe!!, duh!, ngoja nifanye utafiti.Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata
HahahaKumbe!!, duh!, ngoja nifanye utafiti.
Mkuu sina hakika na hii, labda nifafanulie vzr.Waha wakigoma. Wanavuta vidude kwenye papuchi na kuwa marefuuuu
Hali yakuwa wenzetu wanakata