Nimecheka km chizi haki ya naniBibi yangu aliwahi nihadithia kuwa wao (wanyaturu) zamani zile kama mwanaume amerudi kutoka kunywa pombe anahasira basi mke anachukua kigoda anakaa uwani anapigwa weeeeee hadi mwanaume hasira ziishe then maisha yanaendelea. [emoji134][emoji20][emoji22]
Km hakuna hotel hata vichakana lala ila sio ndani ya paa LA ukweniWambeya hapo vigelegele na pombe za kumwaga
Kwahiyo wachaga ukienda ukweni na kama hauna ndugu inatakiwa ulale hotel ama
Wazaramo ukitoka huko mkoleni wapata mchumba hapo hapo chezea vichuchu kuwa waz
Duuuh ukipata ukilema je kwa kipigoBibi yangu aliwahi nihadithia kuwa wao (wanyaturu) zamani zile kama mwanaume amerudi kutoka kunywa pombe anahasira basi mke anachukua kigoda anakaa uwani anapigwa weeeeee hadi mwanaume hasira ziishe then maisha yanaendelea. [emoji134][emoji20][emoji22]
Teh wasukuma wana vituko sana. Wasukuma hasa wanyantuzu mwanamke akifariki wakati wa kujifungua wanawake wanachuma fimbo na kuanza kutembea barabarani ole wake wakutane na mwanaume atakula viboko vya kutosha.
Wanadai bila mwanaume huyo mama asingefariki (asingepata mimba)
Mm muha ndo nakwambiaSio kweli ,,unaongopa ,,Hakuna destur iyo kwetu ,,uliza vizur
Km
Km hakuna hotel hata vichakana lala ila sio ndani ya paa LA ukweni
So ukishiba ugali ndio basi tena wali unaishia kuuangalia?Wasukuma bwana..... kukiwa na sherehe hasa zile za kilimo wakati wa chakula ni ugali kwanza unatangulia, watu wanakula na kushiba halafu wali unafuatia. Yaani kwao wali ni mboga tu, ukiwapa wali na ndizi au nyama wanasema MBOGA KWA MBOGA.
Ni ugali mtupu bila mboga hata kidogo au ni vipiHahahaha! Tuvumilie Mkuu ila hata mie inanikera sana, siku moja miaka ya nyuma tulienda kulima kwa jamaa kwa kutumia ng'ombe sasa muda Wa chakula cha mchana wakaleta ugali na hawaonyeshi dalili ya wali, watu tukapiga ugali dadeki kumbe wali umepikwa asubuhi ili tusigundue kuwa kuna wali, yaani watu wameshiba ugali halafu wanaleta wali.
Kwa mtu wa kawaida asie mzoefu atashindwa kuendelea kula wali, maana atakuwa kesha shiba. lakini wao wanapakia tu, sijui hawashibagi! Wenyewe wanakuambia wali ni kishushio tu hauna nguvu mwilini.So ukishiba ugali ndio basi tena wali unaishia kuuangalia?
Kila mwanaume anachapwa aiseee so hiyo hali ya kutembea na fimbo ni kwa muda ganiTeh wasukuma wana vituko sana. Wasukuma hasa wanyantuzu mwanamke akifariki wakati wa kujifungua wanawake wanachuma fimbo na kuanza kutembea barabarani ole wake wakutane na mwanaume atakula viboko vya kutosha.
Wanadai bila mwanaume huyo mama asingefariki (asingepata mimba)
Na huo ugali ni mtupu kabsa au una vimboga kidogoKwa mtu wa kawaida asie mzoefu atashindwa kuendelea kula wali, maana atakuwa kesha shiba. lakini wao wanapakia tu, sijui hawashibagi! Wenyewe wanakuambia wali ni kishushio tu hauna nguvu mwilini.
Wasukuma kwenye chakula hawajinyimi. Hapo kama kuna shughuli lazima ng'ombe au mbuzi achinjwe, Nyama kwa sana. huwa wananifurahisha sana kwenye maakuli. Unakula nyama hadi unazichoka, au samaki hadi unakimbia. Wasichojua ni kuunga mboga! Nyama inachemshwa tu na kuliwa bila viungo (yaani wanakula ugali, mboga ni supu).Na huo ugali ni mtupu kabsa au una vimboga kidogo
Baada ya msosi huo wa nguvu unaletewa wali si utavimbiwa jamaniWasukuma kwenye chakula hawajinyimi. Hapo kama kuna shughuli lazima ng'ombe au mbuzi achinjwe, Nyama kwa sana. huwa wananifurahisha sana kwenye maakuli. Unakula nyama hadi unazichoka, au samaki hadi unakimbia. Wasichojua ni kuunga mboga! Nyama inachemshwa tu na kuliwa bila viungo (yaani wanakula ugali, mboga ni supu).