Ni mila zipi za kabila lingine uliwahi kukutana nazo zikakushangaza

Ni mila zipi za kabila lingine uliwahi kukutana nazo zikakushangaza

Ndio maana hata under[emoji725] akija ghetto mi nagonga tu! Maana najua hata akienda kwao hela ikionekana hakuna noma.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ila mkuu angalia tusije tukakupoteza si unajua sheria za nchi hazitaki chini ya 18
 
Kabila moja huko Morogoro (sitaki kutaja jina), nilishangaa mtoto mchanga alifariki, baada ya mazishi, siku hiyo hiyo walivyotoka kuzika, wazazi wa marehemu (baba na mama) wanalazimishwa kufanya tendo la ndoa mbele ya wazee maalum, eti wanatakiwa kutengeneza mtoto mwingine haraka sana ku replace aliyefariki!
 
Kagera magodoro ya guest kuvishwa maturubai/nilon kisa watu kupigana katelelo na mrembo wa pande hizo bila kumtoa hayo maji hawezi kukuelewa lazima amtafute mtu wa kukusaidia kuyatoa maana wanadai huwa yanawaumiza tumbo kama yasipotolewa kwa kuchalaza katelelo
Mkuu umewasingizia bhana magodoro yavishwe nailoni kisa majimaji kwakua yanatoka kama maji ya bomba nini
 
Mkuu umewasingizia bhana magodoro yavishwe nailoni kisa majimaji kwakua yanatoka kama maji ya bomba nini

Kweli kabisa mkuu nakinachotoka sio majimaji bali nimaji haswa kiasi kwamba ukiwa mtaaluma mzuri wa kuyapiga asubuhi utakutana nayo sebuleni
 
Kweli kabisa mkuu nakinachotoka sio majimaji bali nimaji haswa kiasi kwamba ukiwa mtaaluma mzuri wa kuyapiga asubuhi utakutana nayo sebuleni
Hahahaha hayo maji waponayo wanawake wa huko tu maana sijawahi yaona
 
Kabila moja huko Morogoro (sitaki kutaja jina), nilishangaa mtoto mchanga alifariki, baada ya mazishi, siku hiyo hiyo walivyotoka kuzika, wazazi wa marehemu (baba na mama) wanalazimishwa kufanya tendo la ndoa mbele ya wazee maalum, eti wanatakiwa kutengeneza mtoto mwingine haraka sana ku replace aliyefariki!
Uwiii hii ni kubwa kuliko
 
Uwiii hii ni kubwa kuliko
Yaani inaumiza sana, hebu imagine mwanamke unatoka kuzika mwanao halafu mkitoka makaburini cha kwanza ni hilo tendo, tena mbele ya "walinzi". hahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Aisee kuna hawa waruguru WA morogoro aisee wana culture flani ya kigodoro aisee inaleta umaskini kwenye kaya zao halafu wala hata hawashutki walikua wanshangaza sana

Of course ni culture ya kishenzi sana kwenye jamii no future, poorer families, poor social economy,

High rate of HIV, poor and sometimes absence of social particularly family control in most cases

Wanachojua wao ni ngono tu na pombe vijana kucheza poor na mpira elimu ziro kabisa waha jamaa wao na culture yao ya kigodoro ni bure kabisa
hivi umemaliza ile dozi yako ya kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani inaumiza sana, hebu imagine mwanamke unatoka kuzika mwanao halafu mkitoka makaburini cha kwanza ni hilo tendo, tena mbele ya "walinzi". hahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Huyo mume huo mnara unasimama kweli maana una uchungu halafu kuna watu wanakutazama jamani jamani
 
Back
Top Bottom