Hebu soma umalize shule...Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo? Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a nijulishe mana sina amani, huwa napata dalili zote za P lakini wapi haianzi na imechelewa wiki ya pili sasa [emoji22]View attachment 1717493
Kibaya unaweza kuta aliyeanzisha uzi ni mwanaume.Week mbili hujaiona P? Na dalili zake unazisikia!! Dada mimba iyooo 😀
Kwani alikojolea ndani?Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo? Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a nijulishe mana sina amani, huwa napata dalili zote za P lakini wapi haianzi na imechelewa wiki ya pili sasa 😢View attachment 1717493
Kibaya unaweza kuta aliyeanzisha uzi ni mwanaume.
Aisee mambo ya JF yataka moyo.
Dawa zenyewe ulizotumia hazitibu Typhoid.
Uliandikiwa na doctor kweli ? au muuza dawa ndie kakuchagulia ?
Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo? Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a nijulishe mana sina amani, huwa napata dalili zote za P lakini wapi haianzi na imechelewa wiki ya pili sasa 😢View attachment 1717493
Akubali kuongeza idadiWeek mbili hujaiona P? Na dalili zake unazisikia!! Dada mimba iyooo 😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bongo sihamiKibaya unaweza kuta aliyeanzisha uzi ni mwanaume.
Aisee mambo ya JF yataka moyo.
Unawezaje kupiga mzigo na mfuko mzee, labda kama wewe ni kiwembe ila kama unaye mpenzi mmoja tu unaweza kupiga kavu fifty - fiftyDah watu wanapiga kavu aisee daah..sjapiga kavu mdaaa
Choice ya dawa huwa ni zaidi ya moja ndio.Kuhusu kutibu-inatibu
Ila inategemea na mwenendo wa usugu wa dawa husika pale alipo. Hatuji eneo alilopo....