Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Fundi kipara

Senior Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
125
Reaction score
247
Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
 
Umri wako tafadhali.

Kuna kipindi mtu unakuwa haupo tayari kuwa na mahusiano, hiyo hali nimeipitia pia na sikuona ajabu kwa sababu sikuwa tayari. Sikuwa hata nahangaika kuomba namba/kutongoza japo wanaojitongozesha hawakukosekana lakini sikuwapa attention kwa sababu sikuwa na uhitaji. Shida ni pale unapokuwa na uhitaji alafu mambo yawe tofauti kama hivyo unaweza hisi kuna mkono wa mtu.

Life style yako ikoje?
 
Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Bro umetoa pesa?
 
Umri wako tafadhali.

Kuna kipindi mtu unakuwa haupo tayari kuwa na mahusiano, hiyo hali nimeipitia pia na sikuona ajabu kwa sababu sikuwa tayari. Sikuwa hata nahangaika kuomba namba/kutongoza japo wanaojitongozesha hawakukosekana lakini sikuwapa attention kwa sababu sikuwa na uhitaji. Shida ni pale unapokuwa na uhitaji alafu mambo yawe tofauti kama hivyo unaweza hisi kuna mkono wa mtu.

Life style yako ikoje?
Mnakosaje wanawake...hii huwa sielewi. Mbona mimi nalalamikiwaga kuwa nazingua?
 
Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Kweli wewe ni fundi na una kipara?
 
Back
Top Bottom