Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
N muhimu lakini ikishavuka hali ya kawaida n mbayaKuwa selective muhimu huwazi kufunua kila sketi, nami huwa siwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N muhimu lakini ikishavuka hali ya kawaida n mbayaKuwa selective muhimu huwazi kufunua kila sketi, nami huwa siwezi
Ndio ubadilike ili upate mwenza wakoNaona nipo selective [emoji85]
Mkiingia mapenzini huku mkiwa hampendani, hilo ni lazima litokee. Ni ngumu kwenda na mapenzi bila ya kupendana.Wakuu habari za wakati huu,
Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.
Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.
Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya
Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression [emoji47]
Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
It's better to be upfront about your feelings kuliko continuing a relationship you're not interested in na acha kuforce mtu humpendi.Wakuu habari za wakati huu,
Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.
Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.
Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya
Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧
Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Uasherati na uzinzi ni uchafu. Msiukaribie.Wakuu habari za wakati huu,
Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.
Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.
Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya
Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧
Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Afu kwel,aje aseme isije kuwa mgumu kutoa afu anataka wa kudumu naye 🤔.Hujauliza kutoa pesa
Nafsi Ipo Kawaida na Sijutii Kuachana Nao lakini Inafikilisha Sana Kuachana Mapema na Mda Huo Nakua Kwenye Process na Kumnyandua Lakini Nashangaa Tu Haniskilizi TenaUnapoachana nao nafsi yako inaumia au inaona kawaida?
😀😀😀😆😆😆 Itakuwa una nyota ya chipsi mayai na mishkaki kwa mbaliii ukwaju😋😋Njoo nikugawie nyota yangu, humu jf tu ndio sina nyota ila huku Mpigi nakimbia wadada🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😆😆😆 Itakuwa una nyota ya chipsi mayai na mishkaki kwa mbaliii ukwaju😋😋
Afu kwel,aje aseme isije kuwa mgumu kutoa afu anataka wa kudumu naye 🤔.
Njoo nikugawie nyota yangu, humu jf tu ndio sina nyota ila huku Mpigi nakimbia wadada🤣🤣🤣🤣
It's better to be upfront about your feelings kuliko continuing a relationship you're not interested in na acha kuforce mtu humpendi.
Ila tu una kapepo ka uhuni, kemea hiyo chap.
Sawa mamaUasherati na uzinzi ni uchafu. Msiukaribie.
Hapa unamaanisha nini?😀😀😀😆😆😆 Itakuwa una nyota ya chipsi mayai na mishkaki kwa mbaliii ukwaju😋😋
Mtego huu... wadada msiseme sikuwaambia
Hili ni tatizo,angalia mahusiyano yako ya nyuma afu usipende kuhangaika sanaaa na Wanawake wengine hawapend kuachwa wengine wanamikosi yao unabeba we,we kwakuwa umeshajua tatizo n nn Sasa huo ndio uponyaj wako,embu kaa kwa makini usali Mungu akufungue na hivyo vifungo.S
Hapana Kwa Tanzania Hii Naeza Afford 75% ya Demands za Mdada Yeyote Nchi Hii na Kwa Jinsi Napenda Wadada Wafurahie Kua namie Basi Pesa Hua Naitoa Kwa Wakati..!! Na Unawezakuta Mdada Nime - Meet Leo ila Kesho Nikimchatisha Anaanza Kujibu Ovyo Tofauti Na Jana
Una nyota ya mvuto(kuliwa)😆😆🏃🏃Hapa unamaanisha nini?