Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression [emoji47]

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Mkiingia mapenzini huku mkiwa hampendani, hilo ni lazima litokee. Ni ngumu kwenda na mapenzi bila ya kupendana.

Ova
 
Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
It's better to be upfront about your feelings kuliko continuing a relationship you're not interested in na acha kuforce mtu humpendi.

Ila tu una kapepo ka uhuni, kemea hiyo chap.
 
Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Uasherati na uzinzi ni uchafu. Msiukaribie.
 
S
Afu kwel,aje aseme isije kuwa mgumu kutoa afu anataka wa kudumu naye 🤔.

Hapana Kwa Tanzania Hii Naeza Afford 75% ya Demands za Mdada Yeyote Nchi Hii na Kwa Jinsi Napenda Wadada Wafurahie Kua namie Basi Pesa Hua Naitoa Kwa Wakati..!! Na Unawezakuta Mdada Nime - Meet Leo ila Kesho Nikimchatisha Anaanza Kujibu Ovyo Tofauti Na Jana
 
It's better to be upfront about your feelings kuliko continuing a relationship you're not interested in na acha kuforce mtu humpendi.

Ila tu una kapepo ka uhuni, kemea hiyo chap.

Daah Kuna Muda Hua Najihisi Nna Jini Mahaba Mamaqwe..!!
 
S

Hapana Kwa Tanzania Hii Naeza Afford 75% ya Demands za Mdada Yeyote Nchi Hii na Kwa Jinsi Napenda Wadada Wafurahie Kua namie Basi Pesa Hua Naitoa Kwa Wakati..!! Na Unawezakuta Mdada Nime - Meet Leo ila Kesho Nikimchatisha Anaanza Kujibu Ovyo Tofauti Na Jana
Hili ni tatizo,angalia mahusiyano yako ya nyuma afu usipende kuhangaika sanaaa na Wanawake wengine hawapend kuachwa wengine wanamikosi yao unabeba we,we kwakuwa umeshajua tatizo n nn Sasa huo ndio uponyaj wako,embu kaa kwa makini usali Mungu akufungue na hivyo vifungo.
 
Back
Top Bottom