Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ipo siku yako tu, utaimba zaburi na tenzi za rohoni😂Jiongeze mkuu!😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku yako tu, utaimba zaburi na tenzi za rohoni😂Jiongeze mkuu!😂
Nini!?Mmmmh!
Bado mda wako haujafika so tulia acha wenge.
Kazi niliyokupa utendaji ni mdogo sana!Ipo siku yako tu, utaimba zaburi na tenzi za rohoni😂
Sijaona eneo tulivu la wewe kutulizwa..Kazi niliyokupa utendaji ni mdogo sana!
Kwani me nimesemaje😎Siko Hapa Kutafuta Mwanamke ila Natafuta Suruhisho la Hili Jambo...!!
Sijui kama kuna hali hiyo lakini mahusiano sio kwa kila mtu, sijui sababu hasa n niniMkuu Mpaka N
Mkuu Nahisi Labda Kuna Kurogwa & Nyota Yangu Imefubaa...!! Kwa Sababu Nna % Chache Sana za Kukubaliwa na Mwanamke Yeyote Yule Hata Ambae Anaonesha Kua na Nia Namie
Hadi wewe?Haupo peke yako mkuu!
Ndiyo wanawake wananikimbia kabla mwezi haujafika, na muda ndo huu natafuta mwenza wa kuoaHadi wewe?
WTF...! 😯😯😯😯Nakereka Sana Kukataliwa Na Wanawake Nnao Wazidi Uzurii
Mwanaume kamili haangaiki na wanawake.. hujakamilika badoWakuu habari za wakati huu,
Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.
Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.
Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya
Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧
Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.
Mpatie maombi tafadhali mama mchungaji,Tunamkosa kijana huyoNi tatizo, fanya maombi...
Wewe mkorofi [emoji1787]Tuma picha tuone ,huenda unaonekana HB uliyepitiliza mpaka wanakuona ushaleft uanaume [emoji23]
Tatizo liko hapaNakereka Sana Kukataliwa Na Wanawake Nnao Wazidi Uzurii
Unaonaje "beautiful onyinye " wenzako wakafika kukusaidia ushauri?🤣Nakereka Sana Kukataliwa Na Wanawake Nnao Wazidi Uzurii