Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Ni Mimi tu au na nyie inawatokea?

Wakuu habari za wakati huu,

Natumai hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa.

Wakuu kuna hali naona kama inataka kunizoea aisee namie mazoea sipendi...!! Hiii hali ya ku-date na wadada halafu hata mwezi atutoboi inaniogopesha sana guys I don't know tatizo ni nini? But mahitaji ya mwanamke yeyote hapa tanzania naeza mudu kiuchumi au hata kwa bed.

Wengine hata sijawahi kunyanduana nao lakini nao ni hivo hivo siku kadhaa tumekaliana kimya na kuachana inakua kimya kimya

Wakuu au nyota yangu imechakaa? Maake kama ni muonekano nnao (handsome boy) mpaka nahisi kupata depression 😧

Naomba kuwasilisha. Karibuni kwa maoni.

Ukiona hivyo ujue haya yanakuhusu;

1. Hujitambui.
Hujui unataka nini kwenye maisha, huna Focus ya maisha yaani hujui muelekeo wa maisha yako. Yaani unaenda endapo.
Hii ikifanywa na under 20 ni sahihi. Lakini above 25 baai upo kwenye kundi la vijana wasio kutambua.

2. Huna majukumu na umekataa kujipa majukumu.
Kama hutaki kuoa official basi tumia mbinu ya sogea tuishi ili ujipe majukumu ya Mwanaume.

3. Umechelewa kujua mapenzi.
Watu waliojulia mapenzi ukubwani pia hukutwa na tatizo kama lako.
Wakishaanza kupata miambili mitatu na kujinunulia nguo na mafuta basi kazi inakuwa moja. Wanawake.

Chakufanya
1. Kama upo below 25 malizia kufurahia huo ujinga/uchafu. Kwa sababu ndio muda wake huo.

2. Kama upo above 25, jipe majukumu.
 
Akyamungu Inakera Sana Kuzinguliwa Na Mtu Unaezidi Mzuri..!! Hamjui Nafkili Wanaume Wenzangu Mnaelewa Hii
Mwanaume mzuri wa nini mie, endelea kujisifia uzuri, PM iko wazi kaa mkao wanakuja
 
Mwanaume mzuri wa nini mie, endelea kujisifia uzuri, PM iko wazi kaa mkao wanakuja

Sijisifii Uzuri ila Najaribu Kueka Sawa Kua Nna Shida Gani Mpaka Napitia Shida Hizi Wakati Kama ka Muonekano Nnako
 
Ukiona hivyo ujue haya yanakuhusu;

1. Hujitambui.
Hujui unataka nini kwenye maisha, huna Focus ya maisha yaani hujui muelekeo wa maisha yako. Yaani unaenda endapo.
Hii ikifanywa na under 20 ni sahihi. Lakini above 25 baai upo kwenye kundi la vijana wasio kutambua.

2. Huna majukumu na umekataa kujipa majukumu.
Kama hutaki kuoa official basi tumia mbinu ya sogea tuishi ili ujipe majukumu ya Mwanaume.

3. Umechelewa kujua mapenzi.
Watu waliojulia mapenzi ukubwani pia hukutwa na tatizo kama lako.
Wakishaanza kupata miambili mitatu na kujinunulia nguo na mafuta basi kazi inakuwa moja. Wanawake.

Chakufanya
1. Kama upo below 25 malizia kufurahia huo ujinga/uchafu. Kwa sababu ndio muda wake huo.

2. Kama upo above 25, jipe majukumu.

Huenda Mapenzi Nimeyajulia Ukubwani..!! Tokea Primary Hadi Namaliza O Level Sikuwai Kua Na Mwanamke au Hata Kujaribu Kujichua ila Nlipomaliza Tu O Level Basi Nikaanza Kutongoza ...!! Tokea Miaka Hiyo Kila Nikijaribu Walau Nifike ata 2months Tunaachana na Kisa Akieleweki

Naweza Sema Kua Mapenzi Nimeyajulia Ukubwani
 
Itakuwa una art ya kuwasilisha jumbe nzuri na tamu kwa mpenzi wako, jaribu kuangalia vile unaongea/ kuandika kwa mpenzi wako.
 
Back
Top Bottom