Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Sometimes hizo vitu huendana na umri so jichunguze vizuri.Daah Kuna Muda Hua Najihisi Nna Jini Mahaba Mamaqwe..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes hizo vitu huendana na umri so jichunguze vizuri.Daah Kuna Muda Hua Najihisi Nna Jini Mahaba Mamaqwe..!!
Naliwa vipi wakati mie ni me🤣Una nyota ya mvuto(kuliwa)😆😆🏃🏃
Kwan me hawaliw?hujawah kujua kunawanawake wanajisifia pia wakilala na me?Naliwa vipi wakati mie ni me🤣
Umri wako tafadhali.
Kuna kipindi mtu unakuwa haupo tayari kuwa na mahusiano, hiyo hali nimeipitia pia na sikuona ajabu kwa sababu sikuwa tayari. Sikuwa hata nahangaika kuomba namba/kutongoza japo wanaojitongozesha hawakukosekana lakini sikuwapa attention kwa sababu sikuwa na uhitaji. Shida ni pale unapokuwa na uhitaji alafu mambo yawe tofauti kama hivyo unaweza hisi kuna mkono wa mtu.
Life style yako ikoje?
Umri wako tafadhali.
Kuna kipindi mtu unakuwa haupo tayari kuwa na mahusiano, hiyo hali nimeipitia pia na sikuona ajabu kwa sababu sikuwa tayari. Sikuwa hata nahangaika kuomba namba/kutongoza japo wanaojitongozesha hawakukosekana lakini sikuwapa attention kwa sababu sikuwa na uhitaji. Shida ni pale unapokuwa na uhitaji alafu mambo yawe tofauti kama hivyo unaweza hisi kuna mkono wa mtu.
Life style yako ikoje?
Kwa hiyo huku mtaani wanajisifu wakinikula mkuu?🤣🤣 mbona hali ni tofauti humu mjengoni!!Kwan me hawaliw?hujawah kujua kunawanawake wanajisifia pia wakilala na me?
Kaombewe,au Usha chezea mtu huko nyuma so na ww anakukomesha usidumu na yoyote.
SHukuru Mungu! Unaepuka stressMkuu Mpaka N
Mkuu Nahisi Labda Kuna Kurogwa & Nyota Yangu Imefubaa...!! Kwa Sababu Nna % Chache Sana za Kukubaliwa na Mwanamke Yeyote Yule Hata Ambae Anaonesha Kua na Nia Namie
Haupo peke yako mkuu!
Sometimes hizo vitu huendana na umri so jichunguze vizuri.
Mmmmh!SHukuru Mungu! Unaepuka stress
Umu wanafki wengi.Kwa hiyo huku mtaani wanajisifu wakinikula mkuu?🤣🤣 mbona hali ni tofauti humu mjengoni!!
Halafu sasa tukiwataka wanaturingia🤣🤣Umu wanafki wengi.
Kweli wewe ni fundi na una kipara?
Jiongeze mkuu!😂Hapa unamaanisha nini?
🤐🤐🤐 Vita unayo anzisha wakija unaiweza?🏃🏃🏃Halafu sasa tukiwataka wanaturingia🤣🤣
Pole sana mkuu