Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Kwahiyo huwa unajipanga kabisa na kutoka kuwa unaenda kumtongoza mwanamke fulani?

Usijali wawili ni wachache sana, ukikomaa kwenye game aibu zitakupungua
 
Hivi jamiiforum haina agelimit?

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Utazoea tu huwa inakera sana kutongoza kwa lengo la kumpata halafu unamkosa ndo maana sisi wataalamu tumatongoza kama hutaki au kama unamtania na humweki akili ni akiingia kingi anapigwa na kubwagwa akikataa unampotezea tu
 
Ni vizuri ukachagua moja mapenzi au shule! Maana mshika mawili moja humponyoka na ww mapenzi yanakuponyoka ni bora ukomae na shule na kama hausomi fanya kazi upate ngawira!
 
Back
Top Bottom