Ni miujiza? Mbona viongozi hawazimii?

Ni miujiza? Mbona viongozi hawazimii?

Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Tafuta pesa hutazimia popote jaribu ata kufikiria makanisani wakiombewa wanao anguka ni maskini tu🚶🚶
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Ushawahi kuona tajiri anatolewa mapepo?
 
Yesu pamoja na mateso yote aliyopata hakuna aliyezimia tofauti na wanawake wa israel,
Sasa kafa binadamu unataka watu wazimie, ona watu wamekufa kwa kukanyagana kama majani.
Akili za mataga bana
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Never underestimate the power of stupid people in large groups.

Wapumbavu wengi wakiwa pamoja wanaweza kufanya kitu cha ajabu.
 
Umeuliza swali zuri sana mkuu 'pilipili-mbuzi'

Hao viongozi ndio hasa waliotakiwa kuzimia na kufa kabisa kwa sababu ndio wanufaika wakubwa.

Mtu kama yule aliyeokotwa Jalalani, na mwingine tena alisema kaokotwa wapi..., watu wa ajabu sana. Hawa ndio waliopaswa kufa kabisa!

Basi mkuu wangu, ujue kuna uigizaji mwingi sana, hata wa kufikia kufa kabisa. Ndiyo, mtu anaigiza, hadi anajikuta kapitiliza na kwenda kimoja.

Kadri ya kuwa na wajinga wengi nchini, ndiyo kadri ya waigizaji wa namna hiyo kuwa wengi.

Wewe kamwambie mtu mwenye uelewa mzuri, akaigize kuzimia kama hatakucheka kama sio kukuzaba vibao!

Huo mstari wako wa mwisho nilitaka kukuunga mkono kwenye maneno uliyoandika mwa sentensi hiyo. Mwanzo wa mstari huo, siyo kweli hata kidogo.
Mnyonge unampenda mtu aliyeshiba, sana sana anachokwambia ni maneno matupu!. Utashiba maneno?
Kusema sijui ni nusu ya ELIMU.
 
Wanafiki wale we ona saivi tu mapema washaanza kuvaa Barakoa wakati walikua kila siku wakiimba Corona kaishinda Jiwe.
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Kama huyu mwingine huku kwani hana handkerchief au tissue ya kujifuta machozi ???

Sanaa bana kwahiyo hapa ndio tuone anauchungu sana ???

20210323_085429.jpg
20210323_085336.jpg
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Daaa!! We jamaaa??? Wanawaza ili wakale timing ya pesa za miradi kabla rais mpya hajayajua hayo ya miradi.kufa kufaaana. Kuna mawaziri wenye akili sana humo usiwaone hivo!!!hasa wanaojifanya kumpenda km spika anakula ndefu!

wkt nyie mnalia miamala inahamishwa kule na huko mnoko kaondoka. Wameshafanikiwa.

Kitu ambacho jiwe hakujua ni uleee msamiati " wa kikulacho...... Yeye alikuwa tumbua tuuuuu!!!
 
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.

Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?

Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Inategemea na maisha uliyoishi na wenza wako kwa madaraja yao
 
Umeuliza swali zuri sana mkuu 'pilipili-mbuzi'

Hao viongozi ndio hasa waliotakiwa kuzimia na kufa kabisa kwa sababu ndio wanufaika wakubwa.

Mtu kama yule aliyeokotwa Jalalani, na mwingine tena alisema kaokotwa wapi..., watu wa ajabu sana. Hawa ndio waliopaswa kufa kabisa!

Basi mkuu wangu, ujue kuna uigizaji mwingi sana, hata wa kufikia kufa kabisa. Ndiyo, mtu anaigiza, hadi anajikuta kapitiliza na kwenda kimoja.

Kadri ya kuwa na wajinga wengi nchini, ndiyo kadri ya waigizaji wa namna hiyo kuwa wengi.

Wewe kamwambie mtu mwenye uelewa mzuri, akaigize kuzimia kama hatakucheka kama sio kukuzaba vibao!

Huo mstari wako wa mwisho nilitaka kukuunga mkono kwenye maneno uliyoandika mwa sentensi hiyo. Mwanzo wa mstari huo, siyo kweli hata kidogo.
Mnyonge unampenda mtu aliyeshiba, sana sana anachokwambia ni maneno matupu!. Utashiba maneno?
Hivi ni kitu gani kilichofanya watu wakimbilie jeneza? Katika hali ya kawaida si huwa kuna utaratibu wa watu kujipanga na kuingia kwa ustaarabu? Ni nini kiliwafanya watanzania wenzetu wale kuwa kama wanyama?
Misiba mingi ya viongozi imetokea katika nchi hii, hatujaona watu waki-act kama walivyo-act kwenye msiba huu! Kwa nini iwe hivi?
 
Kama huyu mwingine huku kwani hana handkerchief au tissue ya kujifuta machozi ???

Sanaa bana kwahiyo hapa ndio tuone anauchungu sana ???

View attachment 1732242View attachment 1732243
Mkuu huyo analia atakosamgawo kizembe!! wasaidizi wake kule wanakomba hazina ya wizara husika bila kunawa yeye yuko kwa msiba.

Waziri/makatibu/wakuu wa miradi wasipotajirika safari hii.anafaa kupigwa risasi na familia.tena hadharani bin waziwazi usimfiche. Una haki ya kumuua.jinga kabisaa
 
Back
Top Bottom