Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Na huenda wanaanguka kimoyomoyokila mmoja analia kimachozi na kimoyomoyo
Mbunge gani alianguka mkuuWalianguka au walijiangusha? Wakiwaza jinsi walivyonajisi uchaguzi wanapata hofu ya kifo.
Tafuta pesa hutazimia popote jaribu ata kufikiria makanisani wakiombewa wanao anguka ni maskini tu🚶🚶Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Ushawahi kuona tajiri anatolewa mapepo?Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Hili linaweza kuwa kweli, wengi wao ni pretender's.Hawazimii kwa vile wameshiba ukiachia mbali kuwa wengi hawakumpenda Magufuli kwa vile alivuruga ulaji wao. Ni mawazo tu.
Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Never underestimate the power of stupid people in large groups.Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Hawazimii kwa vile wameshiba ukiachia mbali kuwa wengi hawakumpenda Magufuli kwa vile alivuruga ulaji wao. Ni mawazo tu.
Kusema sijui ni nusu ya ELIMU.Umeuliza swali zuri sana mkuu 'pilipili-mbuzi'
Hao viongozi ndio hasa waliotakiwa kuzimia na kufa kabisa kwa sababu ndio wanufaika wakubwa.
Mtu kama yule aliyeokotwa Jalalani, na mwingine tena alisema kaokotwa wapi..., watu wa ajabu sana. Hawa ndio waliopaswa kufa kabisa!
Basi mkuu wangu, ujue kuna uigizaji mwingi sana, hata wa kufikia kufa kabisa. Ndiyo, mtu anaigiza, hadi anajikuta kapitiliza na kwenda kimoja.
Kadri ya kuwa na wajinga wengi nchini, ndiyo kadri ya waigizaji wa namna hiyo kuwa wengi.
Wewe kamwambie mtu mwenye uelewa mzuri, akaigize kuzimia kama hatakucheka kama sio kukuzaba vibao!
Huo mstari wako wa mwisho nilitaka kukuunga mkono kwenye maneno uliyoandika mwa sentensi hiyo. Mwanzo wa mstari huo, siyo kweli hata kidogo.
Mnyonge unampenda mtu aliyeshiba, sana sana anachokwambia ni maneno matupu!. Utashiba maneno?
Kama huyu mwingine huku kwani hana handkerchief au tissue ya kujifuta machozi ???Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Wanalia kiprotokaliNdio kwanzaaa wanalia jicho moja moja
Daaa!! We jamaaa??? Wanawaza ili wakale timing ya pesa za miradi kabla rais mpya hajayajua hayo ya miradi.kufa kufaaana. Kuna mawaziri wenye akili sana humo usiwaone hivo!!!hasa wanaojifanya kumpenda km spika anakula ndefu!Kwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Inategemea na maisha uliyoishi na wenza wako kwa madaraja yaoKwenye kuuaga mwili wa hayati Hayati Magufuli tunaona wananchi wa kawaida tu ndio wanazimia, kudondoka na baadhi hata kufa.
Mbona sasa hatuoni haya yakiwapata viongozi, hasa waliokuwa karibu zaidi na hayati?
Au ni kweli kuwa wananchi wanyonge tu ndio walimpenda, wengine walipenda matumbo yao?
Hivi ni kitu gani kilichofanya watu wakimbilie jeneza? Katika hali ya kawaida si huwa kuna utaratibu wa watu kujipanga na kuingia kwa ustaarabu? Ni nini kiliwafanya watanzania wenzetu wale kuwa kama wanyama?Umeuliza swali zuri sana mkuu 'pilipili-mbuzi'
Hao viongozi ndio hasa waliotakiwa kuzimia na kufa kabisa kwa sababu ndio wanufaika wakubwa.
Mtu kama yule aliyeokotwa Jalalani, na mwingine tena alisema kaokotwa wapi..., watu wa ajabu sana. Hawa ndio waliopaswa kufa kabisa!
Basi mkuu wangu, ujue kuna uigizaji mwingi sana, hata wa kufikia kufa kabisa. Ndiyo, mtu anaigiza, hadi anajikuta kapitiliza na kwenda kimoja.
Kadri ya kuwa na wajinga wengi nchini, ndiyo kadri ya waigizaji wa namna hiyo kuwa wengi.
Wewe kamwambie mtu mwenye uelewa mzuri, akaigize kuzimia kama hatakucheka kama sio kukuzaba vibao!
Huo mstari wako wa mwisho nilitaka kukuunga mkono kwenye maneno uliyoandika mwa sentensi hiyo. Mwanzo wa mstari huo, siyo kweli hata kidogo.
Mnyonge unampenda mtu aliyeshiba, sana sana anachokwambia ni maneno matupu!. Utashiba maneno?
Mkuu huyo analia atakosamgawo kizembe!! wasaidizi wake kule wanakomba hazina ya wizara husika bila kunawa yeye yuko kwa msiba.Kama huyu mwingine huku kwani hana handkerchief au tissue ya kujifuta machozi ???
Sanaa bana kwahiyo hapa ndio tuone anauchungu sana ???
View attachment 1732242View attachment 1732243