Ni miujiza? Mbona viongozi hawazimii?

Ni sawa na kusema kwanini matajiri huwa hawapandishi mapepo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyeshikwa na majonzi presha ikapanda akafa pamoja na Shujaa
 
Viongozi wengi wamefurahia kilichotokea
 
Ulishaona mpiga kinanda antoa sadaka kanisani?, Muongoza mapambio kipindi cha maombi anaanguka kwa upako wa Gwajima??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…