Katika hali isiyokawaida rafiki wa karibu wa mke wangu ametokea kunitamani kiasi cha kumweleza mke wangu kuwa kama si yeye angeniomba kuwa na love affairs na mimi. Mwanzoni nilidhani kama utani lakini imeendelea hivyo kwa miezi kadhaa na mbaya zaidi anaonyesha hisia zake kupitia kwa wife kama utani hivi amefikia kumuulizia habari zangu kila wakati akiniita honey. Cha ajabu akiniona anakuwa na aibu na hata kuongea anashindwa. Nataka kufahamu kutoka kwa akina dada wa JF hivi unaweza kumtamani mwanaume wa mwenzio wakati una wako na nini sababu.
heee!! we purple huoni kama nae akimtamani atakuwa anamuonea mke wake coz atakuwa anamsaliti???
Ji ulize hivi ukioa au kuolewa Je ndo mwisho wa kupenda wengine ?
To be more specific (kuwa attractive na mtu mwingine kimapenzi. )
Huyo mmama inaonyesha amekutamani wewe. Na si kosa Kuwa alivyo ..
Je wewe una respond vipi kwake? Na una mpa hint zipi,?..
The power is in your hand ...
All the best think wise.
Na wewe mtamani! Tit for tat is a fair game..
Kwani nyie mnavyotamani wake za watu na wakati nyumbani mna wake zenu hua inasababishwa na nini vile??:israel:
Mi ningependa kwanza kumpongeza huyo dada kwa kumwambia mkeo, japo ni kama matani tu, so suala zima na mkeo analifahamu.
Pili mnatakiwa wote wanne (wewe na mkeo, yeye na mumewe) mukae chini na kulizungumza suala hili especially hiyo tabia ya huyo mdada kutamani wanaume nje ya ndoa yake, kama kuna tatizo ndani ya ndoa yao jaribuni kuwasaidia wamalize matatizo yao, japo suala la mgogoro ndani ya ndoa, tena mke na mume huwa wao wenyewe ndio wenye uwezo wa kutatua.
Mwisho kama njia zote hizi zimeshindikana basi mwambie mkeo avunje urafiki na huyo mdada ili kuvunja mawasiliano moja kwa moja.
Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo jtano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but Im not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.
Ji ulize hivi ukioa au kuolewa Je ndo mwisho wa kupenda wengine ?
To be more specific (kuwa attractive na mtu mwingine kimapenzi. )
Huyo mmama inaonyesha amekutamani wewe. Na si kosa Kuwa alivyo ..
Je wewe una respond vipi kwake? Na una mpa hint zipi,?..
The power is in your hand ...
All the best think wise.
Nashukuru kwa ushauri mzuri ila hilo la kukaa pamoja wote naona halitawezekana kwani nikivaa viatu vya huyo mumewe naona kama ndoa yao itakuwa mashakani. Hilo la kuvunja urafiki nadhani laweza kuwa muafaka.
kwa ushauri acha mali za watu kiongozi, hasira zake ni mbaya sana unaweza usifaidi tena tendo hilo, maana ningekuwa mie nikikukamata nakuoa kwa wiki tu!
Ana pepo wa ngono huyo achana nae. Sio ajabu haja olewa anajua vijana wanapenda wake za watu. Akizidi mpelekee moto (usisahau kinga) halafu mpotezee
Asante mkuu sitegemei kutoka nae out, but noted.
Long time afrodenzi! Lol, Aachane na huyo mke wa mtu, huenda anategwa na mke wake.
Na huyo mkeo anayeelezwa anasikiliza tu na kufikisha meseji mbona iko kazi duniani
from no where rafiki yangu ananiambia anamtamani my husband lol
Kazi kweli kweli.......