Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

Muambie akupe muda umfikirie.

Si ndio kila siku atakuwa anaulizia jibu akiambiwa hapana kwake inakuwa sio jibu anasubiri tena kesho yake, miaka yetu wakati bado tunaomba unyumba kupitia barua tulikuwa tukimalizia kwa kuandika 'nategemea jibu zuri'
 
engekua mchumba wa mtu ningekushauri mfikirie ila ni MKE wa m2 duh kimbia kuliko chita bro!.
 
Ah kama noma naiwe noma mwambie unatamani lakini kujaribu huwezi..
 
Hajawai kutoka nje alafu huyo mtoto wa pili kamla kwenye soseji? Si amesema mmewe awezi tena..
Bora denti kuliko mke wa mtu..utakufa..
 
mkali acha kabisa mke wa mtu,kuna jamaa huku mbeya alikatwa kichwa baada ya kufumwa live na mwenye mke,huyo aliofanya mauaji yupo kitaa mpaka leo na mke wake mana mahakama ilimwachia huru kwani ilionekana ni hasira
 
thanx guys for your comments....... its not that i don't have a stand, or i can not make a decision. if i wanted to hit her i would have done it long time ago.... i said no and it will never be infront of her face several times, i tried not picking her fone call, not answering emails, but i failed to throw her away from my house because don't come to my house it didn't work either... i even tried to say i will tell her husband, and she said she will be very glad, b'se it might be the cause of her marriage to break... i cant buy a ***** and put her to my house just to scare her..... she keeps pushing hoping that one day i might say yes..... that's why am stuck.....
 
Mtoa mada,kulikoni story nzito kama hii ukaishusha usiku wa manane? Au ulikuwa naye pembeni?
Mshawahi kufanya romance bila ku go all the way?
Ningekuwa wewe kusema ukweli ningempa dozi kisha niingie mitini,utaache mdondo bana?
 
thanx guys for your comments....... its not that i don't have a stand, or i can not make a decision. if i wanted to hit her i would have done it long time ago.... i said no and it will never be infront of her face several times, i tried not picking her fone call, not answering emails, but i failed to throw her away from my house because don't come to my house it didn't work either... i even tried to say i will tell her husband, and she said she will be very glad, b'se it might be the cause of her marriage to break... i cant buy a ***** and put her to my house just to scare her..... she keeps pushing hoping that one day i might say yes..... that's why am stuck.....
Ngomz unanikera wewe,dume gani weye,kwani kumlamba utamlambia viwanja vya mnazi mmoja kila mtu aone? We vipi?
 
mkali acha kabisa mke wa mtu,kuna jamaa huku mbeya alikatwa kichwa baada ya kufumwa live na mwenye mke,huyo aliofanya mauaji yupo kitaa mpaka leo na mke wake mana mahakama ilimwachia huru kwani ilionekana ni hasira

Acheni kumtisha,wake za watu wanatafunwa uzuri tu.
 
nina umri wa miaka 30 single... tangu nimeachana na girlfriend wangu miaka mitatu iliyopita imekuwa ikiniwia vigumu kuconnect with a woman, so nimekuwa na marafiki wa kawaida, kati ya marafiki hao, ni huyu dada. Ni age mate, mwaka wa nane yuko kwenye ndoa na ana watoto wawili sasa, urafiki ulianza wa kawaida tu, mara nyingi amekuwa akiniomba ushauri kuhusu mambo mbalimbali na mimi bila hiyana nimekuwa nikimpatia ushauri huo.... miezi sita iliyo pita aliuguliwa na mtoto wake, mimi kama rafiki nilitoa msaada mwangu kulingana mazingira yaliyokuwepo kwa huruma tu rafiki yangu anauguliwa... baada ya mtoto kupona balaa ndipo lilipoanzia, kwanza alianza na shukrani za kilio kwa kudai nilichomfanyia hajawahi kufanyiwa na mtu yeyote... halafu akaanza kunipa historia ya maisha yake ya ndoa, kwanza alilazimishwa kuolewa, na huyo mume wake kila siku ni vipigo, na akadai kuwa huyo mume wake mtoto wake wa pili si wake kwa sababu eti alishaenda kwa daktari akamwambia kuwa hana uwezo wa kuzaa tena... na huyo dada anadai hajawahi kutoka nje ya ndoa.. kwa hiyo umekuwa ni ugomvi mtindo mmoja, si kwa mawifi hadi kwa mama mkwe wake....Nilichokifanya ni kumpa tu ushauri wa kukaa na mumewe wayazungumze wayamalize na ikiwezekana wakafanye DNA ili kuondoa utata...kilichonishangaza akaanza kunambia she is deeply in love with me.. na muda mrefu amesubiri labda nitasema kitu sisemi amejaribu kila njia kunionyesha ila mimi nikawa kipofu... nilipomwambia kuwa siko tayari si tu kwa kuwa yeye ni mke wa mtu pekee bali bado kuna ghost linani haunt siko ready kuwa kwenye mahusiano kwa sasa bado aliendelea kung'ang'ania.... ananijua vizuri kila uongo nilioutumia kumkwepa ilikuwa ni kazi bure...
Najisikia vibaya sio kwamba ni mlokole, ila pia si mfuasi wa shetani, ninge hit nikakimbia lakini kila likinijia wazo la kuwa huyu ni mke wa mtu nashindwa, kibaya zaidi anasema yuko tayari ku sacrifice everything hata ikibidi kuivunja hiyo ndoa kwa ajili yangu... hicho ndio kinaniogopesha zaidi, kwanza najifeel guilty kwa kuiweka mashakani ndoa ya mtu pili hata nikikubali ipo siku yatanikumba kama ya huyo jamaa...TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.... kama utanitumia email nitashukuru zaidi ...... ngomz25@gmail.com..............THANX

Na hili linahitaji ushauri toka JF? Wewe umeishakamatwa na huyo mama!
 
Mke wa mtu sumu,na mapenzi ya kuiba mwisho wake ni kufumwa na kuaibishwa!!jamaa ana haki zote za kukugeuza bucha au kukudhalilisha atakavyo akikushika nae live!tafakari
 
Back
Top Bottom