Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.

Inawezekana anatak favor to.
 
Ajabu! Huyo mke naye anasikiliza na kumpelekea msg mumewe, tena huyo dada naye anao ujari kabisa wa kumwambia mke wa mtu ati anamtamani mumewe.
Uongo mwingine hata shetani anashangaa!

Wimana this isnt a joke vinginevyo ningeipeleka kwenye jokes. Hii inanitokea kwa sasa na ndo maana nikauliza swali je inawezekana?
 
Ajabu! Huyo mke naye anasikiliza na kumpelekea msg mumewe, tena huyo dada naye anao ujari kabisa wa kumwambia mke wa mtu ati anamtamani mumewe.
Uongo mwingine hata shetani anashangaa!

Wimana this isnt a joke vinginevyo ningeipeleka kwenye jokes. Hii inanitokea kwa sasa na ndo maana nikauliza swali je inawezekana?
 
msala huo mkuu, ukimkatalia anaweza geuka adui yako namba moja, ilishawahi nitokea kwa maza flani jirai yangu, ndio nilikua nimehamia hilo eneo, she tried to be very close hasa mumewe akisafiri kibaya zaidi mumewe tunaheshimiana, ila nikawa nampotezea, kuona hivyo akaanza kunichafua mtaani, mara oo huyu kaka jambazi, mara ana ngoma mradi tu ajiridhishe nafsi yake, mpaka leo hatusalimiani wakati tulikua marafiki wakubwa
 
Wa Ukenyenge nina uhakika kuwa si mtego wa Wife kwani hata ninapompigia simu wife kumjulia hali au kujua kama ameshalunch yeye humsikia kwenye background akilalamika kuwa anakupigia wewe tu mbona mimi hanipigii, inafikia kipindi hadi wife anampa simu ili niongee naye japo kidogo. Bado sijamdadisi wife anaichukuliaje hiyo hali.
Wewe bwana weweeeeeeeeeeeee! hebu kuwa serious na mke wako asije akawa anajamaa lingine huko harafu wanakuzuga huku, kumbe ndiyo lao moja. Be careful brother, huyo mkeo hana kazi? kila wakati wako na huyo mke wa mtu? Cha msingi na ukae ukijua kumwendekeza huyo mke wa mtu atakubomolea familia yako. We kuwa serious na mke wako, pengine muweke busy mkeo. Mfano! Ukifika tu jioni chomoka naye, ukimpoteza kama mwezi ataacha. Wakati mwingine wanapeana michapo ya ajabu ajabu hadi mke wa mtu anasisimka. Lol just thinking anyway!
 
Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j'tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I'm not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.

I know most people can resist anything but temptation and particulary where a beautiful woman is concerned, BUT brother brother ni mambo makuu mawili tu yanayoweza kukuharibia maisha hapa duniani na au ukauwawa au kudhuriwa kwa namna moja au nyingine; 1: KURUSHA PESA YA MTU NA 2: KUTEMBEA NA MKE WA MTU, period; now that you know huyo ni mke wa mtu; trust your hunch (waswahili huita machale!!) kaa nae mbali sana aweza kuwa the biblical Delilah huyo on an unholly mission; you have been warned!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Na wewe mtamani! Tit for tat is a fair game..
Kwani nyie mnavyotamani wake za watu na wakati nyumbani mna wake zenu hua inasababishwa na nini vile??:israel:

Purple ndo ushauri gani sasa huo yaani jino kwa jino. Ungekuwa ndo wife wangu ungefanya nini na huyo ndo best yako?
 
Mkuu nunua KY Jelly utembee nayo kwenye gari, siku ukikutana na mumewe itakusaidia.
 
Wewe bwana weweeeeeeeeeeeee! hebu kuwa serious na mke wako asije akawa anajamaa lingine huko harafu wanakuzuga huku, kumbe ndiyo lao moja. Be careful brother, huyo mkeo hana kazi? kila wakati wako na huyo mke wa mtu? Cha msingi na ukae ukijua kumwendekeza huyo mke wa mtu atakubomolea familia yako. We kuwa serious na mke wako, pengine muweke busy mkeo. Mfano! Ukifika tu jioni chomoka naye, ukimpoteza kama mwezi ataacha. Wakati mwingine wanapeana michapo ya ajabu ajabu hadi mke wa mtu anasisimka. Lol just thinking anyway!

Mkuu wanafanya kazi sehemu moja ndo maana wako pamoja mda mwingi. Ila asante kwa gud advice
 
Jambo la kwanza mpe taarifa hii mchumba wako, usimfiche kitu chochote mwambie kila kitu na jinsi unavyojisikia juu ya huyo mmama.
Pili acha kabisa tabia ya kumpa lift huyo mama, kama kuna njia mbadala pita hiyo njia ili umkwepe na ikiwezekana vunja kabisa mawasiliano ya simu nae hata akikupigia usipokee simu yake au mpe mpenzi wako aongee nae.
Tatu omba mungu mumewe hasije fahamu kama huwa unampa lift mkewe, pindi atakapo fahamu na uhamuzi atakaochukua juu yako, utabakia kuwa yeye na wewe tuu.
ANGALIZO: Wanaume wenye magari tuache kuwapa lift mabinti na wake za watu, wanatupa wakati mgumu sana.

Penye red, wanatia huruma sana barabarani hasa kugombania daladala na kusimama muda mrefu ha ha ha aaaaa!
 
wanatia huruma sana barabarani hasa kugombania daladala na kusimama muda mrefu ha ha ha aaaaa!

  • Hata kama wanatia huruma, msaada kwake unaweza kuwa wa nia njema kabisa ila yeye akautumia vibaya.
  • Pia mazoe iliyojiwekea, mimi labla awe mwanaume mwenzangu tena kuwe na mvua inanyesha lakini kama kupo shwali na jua la bongo, aaiisssee hapati mtu lift, mabinti na wake za watu hao ndio kabisaaaa.
 
jaribu sana kumkwepa mara kwa mara, ukaribu utakusababishia mambo ya ajabu bila uamuzi wako, ucje kusema NINGEJUA
 
Yani we hujaona wanawake isipo kuwa wake za watu.
 
kula mara moja tu afu ukimbie.....

Duh..... Hiyo inaitwa HIT and RUN. Ninavyojua you have to hit and kill or disappear in the speed of light otherwise if you get stuck it will b a different story
 
Huna kichwa cha kufikiri? ina maana ukiulizwa 1+1 ni ngapi utakuja kuuliza humu jamvini? you're misusing the JF. Simple answer ni kusema NO la sivyo usubiri kuwindwa kama swala na mwenye mali.

Mwacheni ajifanye Handsome, kami ni mimi nikikukamata tu, ninakufanya kama ulivyomfanya mke wangu!
 
my dear Princess na mie nimeamua kumuenjoy mtoa sredi kama yeye alivyoamua kutuenjoy! Ina maana na utu uzima wake kwenye issue kama hii hajui nini cha kufanya?sasa matatizo mengine makubwa ya kifamilia hua anasolve vipi?khaaa:bathbaby:
atatuletea tumtatulie anataka spoonfeedng!!
 
Back
Top Bottom